Uko tayari kupata chanjo ya Corona? Hili linakuhusu
June 29, 2021 6:02 am ·
Daniel Samson
Dar es Salaam. Chanjo ya Corona ni miongoni mwa silaha zinazotumika kwa sasa duniani kupambana na ugonjwa wa Corona. Ili chanjo ifanye kazi kwa mtu aliyepata, ni lazima ukamilishe dozi zote zinazopendekezwa na wataalam wa afya.
Kinyume na hapo atakuwa katika hatari ya kupata maamubiki ya ugonjwa huo ambao bado unaitesa dunia.

Latest
7 days ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
1 week ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka
