Ujumbe maalum kwa wasiopenda kuvaa barakoa

July 8, 2021 8:11 am · Daniel Samson
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Kama hujaanza kuvaa barakoa anza leo. Uvaaji barakoa wakati huu wa janga la Corona unasaidia kupunguza hatari ya kupata maambukizi ya ugonjwa huo kwa asilimia 80.

Follow Us on TikTok

FOLLOW NOW

Subscribe to Our YouTube Channel

SUBSCRIBE NOW