Vituo 27 vinavyotoa chanjo ya Uviko-19 mkoani Mtwara

August 21, 2021 6:13 am · Clifford
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Wewe ni miongoni mwa watu ambao wana mpango wa kupata chanjo lakini hujui ni wapi utachanjwa? Kama uko katika Mkoa wa Mtwara iwe mjini au vijijini na una sifa za kupata chanjo ya Corona, Serikali imeweka vituo 27 katika Halmashauri zote tisa za mkoa huo ili kutoa fursa kwa watu kuchanjwa.

Nenda kachanje ili uwe salama. Kumbuka chanjo husaidia kumkinga mtu na maambukizi ya ugonjwa wa Uviko-19. Kwa sasa, Tanzania inatumia chanjo aina ya Johnson & Johnson ambayo mtu anayechanjwa anapatiwa dozi moja tu.

Follow Us on TikTok

FOLLOW NOW

Subscribe to Our YouTube Channel

SUBSCRIBE NOW