Makosa ya kuepuka wakati wa kuvaa barakoa

August 23, 2021 1:59 pm · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na kuvaa barakoa chini ya kidevu au kutokuziba pua au mdomo.
  • Barakoa inatakiwa kutumika vizuri ili kumkinga mtumiaji wake na maambukizi.

Dar es Salaam. Uvaaji wa barakoa ni kati ya vitu vinavyoshauriwa na mamlaka za afya kama hatua za kuchukuliwa ili kukomesha usambaaji wa virusi vya Corona.

Hata hivyo, kutokana na baadhi ya watu kukosa elimu, wanajikuta wakitumia barakoa huku wakifanya makosa mbalimbali ya uvaaji kama kuivaa barakoa bila kufunika pua, kuning’iniza barakoa kwenye sikio moja, na kuivaa chini ya kidevu.

Hali hiyo inaweza kusababisha mtu kupata maambukizi ya ugonjwa wa Corona na hivyo matumizi yake ya barakoa yanakuwa hayana tija katika vita ya kupambana na kusambaa kwa virusi vya Corona.

Tazama video hii kona makosa ambayo baadhi ya watu wanayafanya katika matumizi ya barakoa.

                        

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Nukta TV

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

Nukta TV

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Nukta TV