Mambo yatakayosaidia kukishinda kirusi kipya cha Corona
December 2, 2021 12:57 pm ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Shirika la Afya Duniani (WHO) limeripoti kuwa kirusi kipya cha Corona aina ya ‘Omicron’ kinazidi kusambaa duniani ambapo kwa sasa kimeripotiwa katika nchi 23.
Kutokana na hali hiyo, wanasayansi wanaendelea kufanya tafiti juu ya kirusi hicho, uwezo wake na madhara kinayoweza kusababisha ili kuwakinga watu.
Kwa sasa, WHO na mamlaka za afya nchini Tanzania zimewataka wtu kuendelea kuchukua tahadhari ikiwemo kupata chanjo, kunawa mikono, kuvaa barakoa na kuepuka mikusanyiko isiyo ya lazima.

Latest
7 days ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
1 week ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka
