Yakuzingatia unapoandaa kikao wakati wa Corona
December 7, 2021 1:18 pm ·
Herimina
Dar es salaam. Ikiwa taasisi au mtu binafsi una mpango wa kuandaa kikao au mkutano wakati huu wa janga la Uviko-19, ni muhimu kuzingatia taratibu za kujikinga dhidi ya janga hilo.
​Taratibu hizo ni pamoja na kuhakikisha kuwa kikao kinahudhuriwa na watu wachache ili kuachiana umbali wa mtu na mtu.

Latest
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Vodacom Tanzania yamwaga Sh70 bilioni kuboresha M-Pesa
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
BoT yabakiza riba ya benki kuu 5.75% licha ya vita Mashariki ya Kati
1 week ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
2 weeks ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026