Tatizo la afya ya akili sasa kutupiwa macho

October 11, 2022 8:23 am · admin
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema ipo haja ya kuwa na vituo maalumu vya kutoa huduma ya saikolojia pamoja na huduma za matibabu ya matatizo ya afya ya akili nchini Tanzania kutokana na mfululizo wa matukio yanayohusishwa na suala hilo.

Waziri Ummy aliyekuwa akizungumza katika kongamano la kwanza la kitaifa la afya ya akili lililofanyika Octoba 10,2022 ikiwa ni siku ya afya ya akili duniani alisema vituo hivyo vya saikolojia vitasaidia kupunguza wimbi watu kupata magonjwa ya akili.

Takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO) zinabainisha kuwa mtu mmoja kati ya watu nane duniani anakabiliwa na tatizo la afya ya akili huku Tanzania ikiwa na takribani watu milioni saba wenye matatizo mbalimbali ya afya ya akili.

 

/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
30 May, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
30 May, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
AKILI UNDE INAVYOIMARISHA HUDUMA ZA AFYA YA KINYWA NA MENO

AKILI UNDE INAVYOIMARISHA HUDUMA ZA AFYA YA KINYWA NA MENO

Nukta TV

WAFAHAMU 'THE BIG FIVE' WA AFRIKA

WAFAHAMU 'THE BIG FIVE' WA AFRIKA

Nukta TV

HIVI NDIVYO UNAWEZA KUSAFISHA MENO YAKO

HIVI NDIVYO UNAWEZA KUSAFISHA MENO YAKO

Nukta TV