Hali halisi maambukizi ya Uviko-19 duniani
February 28, 2023 6:41 am ·
admin
Dar es Salaam. Maelfu ya watu bado wameendelea kuambukizwa ugonjwa wa Uviko-19 sehemu mbalimbali duniani. Mpaka sasa zaidi ya watu watu milioni 757.2 wameambukizwa ugonjwa huo duniani..
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) hadi kufikia Februali 22 mwaka huu watu milioni 6.8 wameripotiwa kupoteza maisha kutokana na ugonjwa huo unaosambashambulia mfumo wa hewa huku vifo 434 vikiripotiwa saa 24 zilizopita.

Latest
13 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Dk Mwigulu mgeni rasmi siku ya uhuru wa vyombo vya habari
20 hours ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Machi 25, 2026
1 day ago
·
Nuzulack Dausen
Meli za mafuta ya ndani kupewa kipaumbele Tanzania
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Gharama, elimu ya kidigitali vikwazo vya ukuaji wa ‘Fintech’ Tanzania