Uviko-19 bado unaitesa dunia
March 16, 2023 1:05 pm ·
Lucy Samson
Dar es Salaam. Maelfu ya watu bado wameendelea kuambukizwa ugonjwa wa Uviko-19 sehemu mbalimbali duniani. Mpaka sasa zaidi ya watu watu milioni 760 wameambukizwa ugonjwa huo duniani.
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) hadi kufikia Machi 16 mwaka huu watu milioni 6.8 wameripotiwa kupoteza maisha kutokana na ugonjwa huo unaosambashambulia mfumo wa hewa.
Latest

22 minutes ago
·
Kelvin Makwinya
Idara ya Uhamiaji Tanzania yatahadharisha umma na utapeli wa ajira

2 hours ago
·
Fatuma Hussein
Si kweli: TRA wametoa matokeo ya usaili wa nafasi za kazi

2 hours ago
·
Lucy Samson
Bei ya petrol, dizeli yapaa miezi minne mfululizo

3 hours ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadili fedha za kigeni Aprili 2, 2025