Uviko-19 bado unaitesa dunia
March 16, 2023 1:05 pm ·
Lucy Samson
Dar es Salaam. Maelfu ya watu bado wameendelea kuambukizwa ugonjwa wa Uviko-19 sehemu mbalimbali duniani. Mpaka sasa zaidi ya watu watu milioni 760 wameambukizwa ugonjwa huo duniani.
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) hadi kufikia Machi 16 mwaka huu watu milioni 6.8 wameripotiwa kupoteza maisha kutokana na ugonjwa huo unaosambashambulia mfumo wa hewa.

Latest
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Mei 8
3 days ago
·
Fatuma Hussein
Shilingi tulivu dhidi ya Dola ya Marekani Mei 7, 2026
4 days ago
·
Fatuma Hussein
Bei ya petroli,dizeli yapaa Serikali ikiweka ruzuku ya Sh259
6 days ago
·
Fatuma Hussein
Watatu wafariki katika mlipuko wa ‘hantavirus’ ndani ya meli ya kitalii