Uviko-19 bado unaitesa dunia
March 16, 2023 1:05 pm ·
Lucy Samson
Share
Tweet
Copy Link
Dar es Salaam. Maelfu ya watu bado wameendelea kuambukizwa ugonjwa wa Uviko-19 sehemu mbalimbali duniani. Mpaka sasa zaidi ya watu watu milioni 760 wameambukizwa ugonjwa huo duniani.
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) hadi kufikia Machi 16 mwaka huu watu milioni 6.8 wameripotiwa kupoteza maisha kutokana na ugonjwa huo unaosambashambulia mfumo wa hewa.
Latest
4 hours ago
·
Davis Matambo
Bosi Nukta Africa ashauri mbinu kuboresha uandishi wa habari Tanzania
7 hours ago
·
Fatuma Hussein
Boniface Jacob afikishwa Mahakama ya Kisutu
9 hours ago
·
Esau Ng'umbi
Waandishi Nukta Africa kuwania tuzo za EJAT 2023
14 hours ago
·
Yuster Massawe
Viwango vya kubadili fedha za kigeni Septemba 19, 2024