Waliokula hela za ‘Plea Bargaining’ wachukuliwe hatua
February 2, 2023 1:09 pm ·
Lucy Samson
- Ameitaka Serikali kufanya upeleleze wakinakubaini waliohusika
Dar es Salaam.Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) Anna Henga ameitaka Serikali  kuwachukulia hatua wale wote waliohusika kwenye upotevu wa hela za ‘plea Bargaining’.
Henga aliyekuwa akiwasilisha mapendekezo ya kuboresha mfumo wa taasisi za haki jinai leo Februari 2, 2023 jijini Dar es Salaam ametaka mapendekezo ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Fedha za Serikali (CAG)kufanyiwa kazi
Latest
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Vodacom Tanzania yamwaga Sh70 bilioni kuboresha M-Pesa
2 weeks ago
·
Kelvin Makwinya
BoT yabakiza riba ya benki kuu 5.75% licha ya vita Mashariki ya Kati
2 weeks ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
2 weeks ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026