Waliokula hela za ‘Plea Bargaining’ wachukuliwe hatua

February 2, 2023 1:09 pm · Lucy Samson
Share
Tweet
Copy Link
  • Ameitaka Serikali kufanya upeleleze wakinakubaini waliohusika

Dar es Salaam.Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) Anna Henga ameitaka Serikali  kuwachukulia hatua wale wote waliohusika kwenye upotevu wa hela za ‘plea Bargaining’.

Henga aliyekuwa akiwasilisha mapendekezo ya kuboresha mfumo wa taasisi za haki jinai leo Februari 2, 2023 jijini Dar es Salaam ametaka mapendekezo ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Fedha za Serikali (CAG)kufanyiwa kazi

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Nukta TV

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

Nukta TV

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Nukta TV