Zaidi ya nusu ya wagonjwa wa Corona wapona Afrika
December 5, 2020 7:18 am ·
Daniel Samson
Dar es Salaam. Wakati wagonjwa wa Corona wakiendelea kuongezeka Afrika, takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO) zinazonyesha kuwa zaidi ya nusu ya wagonjwa wanaopata COVID-19 wamepona barani humo.
Takwimu za WHO za Desemba 4, 2020, zinaonyesha watu waliopona COVID-19 barani humo ni milioni 1.8 kati ya wagonjwa milioni 2.3 walioripotiwa kupata maambukizi.
Hata hivyo, nchi ya Afrika Kusini imeendelea kurekodi kiwango cha juu cha wagonjwa wa COVID-19 barani humo.

Latest
20 hours ago
·
Fatuma Hussein
Ufahamu ugonjwa wa hantavirus
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Tumia viwango hivi kubadili fedha za kigeni leo Mei 13, 2026
4 days ago
·
Fatuma Hussein
Usafiri, bidhaa za vyakula vyapaisha mfumuko wa bei kwa asilimia 0.8 Tanzania
5 days ago
·
Fatuma Hussein
Wagonjwa wa afya akili waongezeka kwa asilimia 89, Serikali yaanika mikakati kuwakabili