Zaidi ya nusu ya wagonjwa wa Corona wapona Afrika

December 5, 2020 7:18 am · Daniel Samson
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Wakati wagonjwa wa Corona wakiendelea kuongezeka Afrika, takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO) zinazonyesha kuwa zaidi ya nusu ya wagonjwa wanaopata COVID-19 wamepona barani humo. 

Takwimu za WHO za Desemba 4, 2020, zinaonyesha watu waliopona COVID-19 barani humo ni milioni 1.8 kati ya wagonjwa milioni 2.3 walioripotiwa kupata maambukizi. 

Hata hivyo, nchi ya Afrika Kusini imeendelea kurekodi kiwango cha juu cha wagonjwa wa COVID-19 barani humo. 

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
15 Jul, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
16 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
16 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Kutana na ‘Poultry Plucker’, mashine inayonyonyoa kuku watatu kwa dakika moja

Kutana na ‘Poultry Plucker’, mashine inayonyonyoa kuku watatu kwa dakika moja

Nukta TV

Rais Samia: Kalamu yangu ina hatari, sijawahi kusaini mtu kunyongwa

Rais Samia: Kalamu yangu ina hatari, sijawahi kusaini mtu kunyongwa

Nukta TV

Rais Samia: Matumizi jina Samia, likiwa kila mahali inachosha, tafuteni wengine

Rais Samia: Matumizi jina Samia, likiwa kila mahali inachosha, tafuteni wengine

Nukta TV