Yaliyomo ripoti ya CAG mwaka 2020-21

April 1, 2022 7:19 am · Daniel Samson
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere tayari amewasilisha ripoti yake ya ukaguzi kwa mwaka wa fedha unaoishia Juni 30, 2021 kwa Rais Samia Suluhu Hassan huku akiibiwa mambo mbalimbali ikiwemo kuongezeka kwa deni la Serikali.

CAG Kichere katika taarifa yake aliyoitoa mbele ya Rais Samia Machi 30, 2022 Ikulu Chamwino, Dodoma aligusia mambo mbalimbali yaliyopo katika ripoti yake. 

Amesema deni la Serikali Tanzania limeongezeka kutoka Sh56.7 trilioni mwaka 2019/20 hadi kufikia Sh64.5 trilioni kufikia 2020/21.

Mambo mengine aliyogusia yanapatikana katika infografia hii.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

Nukta TV

Kwa nini wanawake wako katika hatari zaidi kupata magonjwa ya akili?

Kwa nini wanawake wako katika hatari zaidi kupata magonjwa ya akili?

Nukta TV

🔴LIVE: HOMERA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA BUNGENI

🔴LIVE: HOMERA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA BUNGENI

Nukta TV

BENEFIT FROM
Nukta ADS
Advertise with us to reach a wider audience with high conversion rates.
Other Nukta Africa Products
Nukta Habari
Stories that matter
Topics
Inuldge yourself with the topics in Nukta
All
Business
Africa
Contact
Tel
+255 750 881 888
Mail
newsroom@nukta.co.tz
Address
Mwananyamala kwa Kopa Dabe House Dar es Salaam TZ, 14108
Social Media

© 2024 Nukta Africa. All Rights Reserved.