Yaliyomo ripoti ya CAG mwaka 2020-21
Dar es Salaam. Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere tayari amewasilisha ripoti yake ya ukaguzi kwa mwaka wa fedha unaoishia Juni 30, 2021 kwa Rais Samia Suluhu Hassan huku akiibiwa mambo mbalimbali ikiwemo kuongezeka kwa deni la Serikali.
CAG Kichere katika taarifa yake aliyoitoa mbele ya Rais Samia Machi 30, 2022 Ikulu Chamwino, Dodoma aligusia mambo mbalimbali yaliyopo katika ripoti yake.
Amesema deni la Serikali Tanzania limeongezeka kutoka Sh56.7 trilioni mwaka 2019/20 hadi kufikia Sh64.5 trilioni kufikia 2020/21.
Mambo mengine aliyogusia yanapatikana katika infografia hii.

Latest