Yaliyomo ripoti ya CAG mwaka 2020-21

April 1, 2022 7:19 am · Daniel Samson
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere tayari amewasilisha ripoti yake ya ukaguzi kwa mwaka wa fedha unaoishia Juni 30, 2021 kwa Rais Samia Suluhu Hassan huku akiibiwa mambo mbalimbali ikiwemo kuongezeka kwa deni la Serikali.

CAG Kichere katika taarifa yake aliyoitoa mbele ya Rais Samia Machi 30, 2022 Ikulu Chamwino, Dodoma aligusia mambo mbalimbali yaliyopo katika ripoti yake. 

Amesema deni la Serikali Tanzania limeongezeka kutoka Sh56.7 trilioni mwaka 2019/20 hadi kufikia Sh64.5 trilioni kufikia 2020/21.

Mambo mengine aliyogusia yanapatikana katika infografia hii.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
17 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
17 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Siku ya Familia, Mtoto wa Afrika kuadhimishwa Juni 30, 2026

Siku ya Familia, Mtoto wa Afrika kuadhimishwa Juni 30, 2026

Nukta TV

Wadau wa 'kubet" watoa ya moyoni, pendekezo kupanda kwa tozo 5%

Wadau wa 'kubet" watoa ya moyoni, pendekezo kupanda kwa tozo 5%

Nukta TV

Wasemayo wananchi, vocha za kukwangua kupigwa maruku mijini

Wasemayo wananchi, vocha za kukwangua kupigwa maruku mijini

Nukta TV