Yaliyomo ripoti ya CAG mwaka 2020-21

April 1, 2022 7:19 am · Daniel Samson
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere tayari amewasilisha ripoti yake ya ukaguzi kwa mwaka wa fedha unaoishia Juni 30, 2021 kwa Rais Samia Suluhu Hassan huku akiibiwa mambo mbalimbali ikiwemo kuongezeka kwa deni la Serikali.

CAG Kichere katika taarifa yake aliyoitoa mbele ya Rais Samia Machi 30, 2022 Ikulu Chamwino, Dodoma aligusia mambo mbalimbali yaliyopo katika ripoti yake. 

Amesema deni la Serikali Tanzania limeongezeka kutoka Sh56.7 trilioni mwaka 2019/20 hadi kufikia Sh64.5 trilioni kufikia 2020/21.

Mambo mengine aliyogusia yanapatikana katika infografia hii.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
7 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
7 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

Nukta TV

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Nukta TV

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

Nukta TV