Watalii kutoka Ulaya vinara wa kutembelea vivutio Tanzania

February 16, 2019 5:22 pm · Daniel Samson
Share
Tweet
Copy Link
  • Nusu (asilimia 50.8) ya watalii wageni wanatoka Ulaya wakifuatiwa kwa mbali na wanaotoka mabara ya Asia na Pacific kwa asilimia 24.5.
  • Serikali yajipanga kujitanua zaidi kuzifikia nchi za Mashariki ya Kati na Mbali.

Umewahi kujiuliza ni bara gani duniani linalotegemewa na Tanzania kupata watalii? Basi Ulaya ni bara muhimu ambalo linatoa watalii wengi wa kimataifa wanaokuja kutembelea vivutio mbalimbali nchini. 

Kwa mujibu wa Ripoti ya utafiti wa wageni wa nje ya nchi mwaka 2017 (International Visitors’ Exit Survey Report 2017) inabainisha kuwa nusu ama asilimia 50.8 ya watalii wote wanaokuja nchini wanatoka katika bara la ulaya wakifuatiwa na mabara ya Asia na Pacific kwa asilimia 24.5.

Hata hivyo, Serikali imesema inaendelea na mipango ya kuyafikia masoko ya kimkakati ya China, Israel, Russia na Oman yanayopatikana katika eneo la Mashariki ya Kati na Mbali. 

​Utalii ni moja ya sekta zinazoongoza kwa kuingiza fedha za kigeni nchini.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
21 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
21 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Mwanzo mwisho mapokezi ya Rais wa Namibia Netumbo Nandi Ikulu Dar es Salaam

Mwanzo mwisho mapokezi ya Rais wa Namibia Netumbo Nandi Ikulu Dar es Salaam

Nukta TV

Sikia kisa cha bibi wa Mbagala, chanzo Jaji Mkuu Masaju kupanda cheo

Sikia kisa cha bibi wa Mbagala, chanzo Jaji Mkuu Masaju kupanda cheo

Nukta TV

FAHAMU KUHUSU SIKOSELI | Part 1: Ugonjwa wa kurithi, unaotesa maelfu ya watoto Tanzania

FAHAMU KUHUSU SIKOSELI | Part 1: Ugonjwa wa kurithi, unaotesa maelfu ya watoto Tanzania

Nukta TV