Viwango vya kubadili fedha Tanzania Januari 2, 2026

January 2, 2026 12:17 pm · Fatuma Hussein
Share
Tweet
Copy Link

Ikiwa leo ni Ijumaa ya kwanza ndani ya mwaka huu mpya wa 2026, tunakuletea viwango vya kubadilisha fedha za kigeni dhidi ya Shilingi ya Tanzania vinavyotolewa na Benki za CRDB na NMB, kwa matumizi ya leo Januari 2, 2026.

Viwango hivi hubadilika kila siku kulingana na mwenendo wa soko la fedha, na vina umuhimu mkubwa katika mwanzo wa mwaka huu mpya ambapo wafanyabiashara na wawekezaji huanza kupanga na kutekeleza shughuli zao za kifedha, ikiwemo ununuzi na uingizaji wa bidhaa kutoka nje ya nchi.

Kupitia viwango hivi vya kubadilisha fedha, watumiaji wa sarafu za kigeni hupata mwongozo sahihi wa kufanya manunuzi, kupanga bajeti, na kuendesha biashara zao kwa ufanisi zaidi katika mwaka huu mpya wa kiuchumi.

Hapa chini ni viwango vya kubadilisha fedha za kigeni dhidi ya Shilingi ya Tanzania unavyoweza kutumia leo katika malipo na manunuzi ya bidhaa kutoka nje ya nchi.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

Nukta TV

Kwa nini wanawake wako katika hatari zaidi kupata magonjwa ya akili?

Kwa nini wanawake wako katika hatari zaidi kupata magonjwa ya akili?

Nukta TV

🔴LIVE: HOMERA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA BUNGENI

🔴LIVE: HOMERA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA BUNGENI

Nukta TV

BENEFIT FROM
Nukta ADS
Advertise with us to reach a wider audience with high conversion rates.
Other Nukta Africa Products
Nukta Habari
Stories that matter
Topics
Inuldge yourself with the topics in Nukta
All
Business
Africa
Contact
Tel
+255 750 881 888
Mail
newsroom@nukta.co.tz
Address
Mwananyamala kwa Kopa Dabe House Dar es Salaam TZ, 14108
Social Media

© 2024 Nukta Africa. All Rights Reserved.