Viwango vya kubadili fedha Julai 24, 2025
July 24, 2025 1:37 pm ยท
Kelvin Makwinya
Shilingi ya Tanzania imeendelea kuimarika dhidi ya Dola ya Marekani. Katika soko la rejareja benki ya NMB sasa Dola inauza kwa Sh2,620 kutoka Sh2,640 hapo jana. benki ya CRDB sasa Dola inauzwa kwa Sh2,640 kutoka Sh2,645 hapo jana. Hii ni fursa kwa wafanyabiashara wanaoagiza vitu kutoka nje kuagiza bidhaa zao kwa bei nafuu.
Tumia viwango hivi kubadili fedha za kigeni dhidi ya Shilingi ya Tanzania leo Julai 24, 2025.

Latest
5 days ago
ยท
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
6 days ago
ยท
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
6 days ago
ยท
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
6 days ago
ยท
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa harakaย
