Viwango vya kubadili fedha Julai 24, 2025
July 24, 2025 1:37 pm ·
Kelvin Makwinya
Shilingi ya Tanzania imeendelea kuimarika dhidi ya Dola ya Marekani. Katika soko la rejareja benki ya NMB sasa Dola inauza kwa Sh2,620 kutoka Sh2,640 hapo jana. benki ya CRDB sasa Dola inauzwa kwa Sh2,640 kutoka Sh2,645 hapo jana. Hii ni fursa kwa wafanyabiashara wanaoagiza vitu kutoka nje kuagiza bidhaa zao kwa bei nafuu.
Tumia viwango hivi kubadili fedha za kigeni dhidi ya Shilingi ya Tanzania leo Julai 24, 2025.

Latest
13 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Nchi 10 zilizoongoza kwa uwekezaji (FDI) Tanzania 2024
1 day ago
·
Kelvin Makwinya
Brela yatangaza mfumo mpya utoaji huduma leseni kundi ‘A’
2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Nukta Africa kuzindua Nukta AI, siku ya uhuru wa vyombo vya habari
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Tume ya Chande yapendekeza katiba mpya kabla ya 2028