Viwango vya kubadili fedha Julai 24, 2025

July 24, 2025 1:37 pm ยท Kelvin Makwinya
Share
Tweet
Copy Link

Shilingi ya Tanzania imeendelea kuimarika dhidi ya Dola ya Marekani. Katika soko la rejareja benki ya NMB sasa Dola inauza kwa Sh2,620 kutoka Sh2,640 hapo jana. benki ya CRDB sasa Dola inauzwa kwa Sh2,640 kutoka Sh2,645 hapo jana. Hii ni fursa kwa wafanyabiashara wanaoagiza vitu kutoka nje kuagiza bidhaa zao kwa bei nafuu.

Tumia viwango hivi kubadili fedha za kigeni dhidi ya Shilingi ya Tanzania leo Julai 24, 2025.

Follow Us on TikTok

FOLLOW NOW

Subscribe to Our YouTube Channel

SUBSCRIBE NOW