Viwango vya kubadili fedha Januari 16, 2025
Katika soko la rejareja Dola ya Marekani imeendelea kubaki katika kiwango kile kile kwa baadhi ya benki kulinganisha na siku mbili zilizopita. Katika Benki ya NMB dola inanunuliwa kwa Sh2,545 na kuuzwa kwa Sh2,450.
Kwenye Benki ya CRDB, Dola ya Marekani inauzwa kwa Sh2,545 sawa na NMB, uku ikinunuliwa kwa Sh2,449 , tofauti ya Sh1 na benki ya NMB.
Tumia viwango hivi kubadili fedha za kigeni dhidi ya Shilingi ya Tanzania leo Januari 16,2025
