Viwango vya kubadili fedha Februari 10, 2025
February 10, 2025 10:36 am ·
Kelvin Makwinya
Katika soko la rejareja, benki ya NMB Dola inauzwa kwa Sh2,615 na kununuliwa kwa Sh2,520. katika benki ya CRDB, Dola ya Marekani inauzwa Sh2613 na kununuliwa kwa Sh2,517.
Tumia viwango hivi kubadili fedha za kigeni dhidi ya Shilingi ya Tanzania leo Februari 10, 2025.

Latest
5 days ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
5 days ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
6 days ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
6 days ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka
