Viwango vya kubadili fedha, Februari 27,2026
February 27, 2026 8:59 am ·
Kelvin Makwinya
Dar es Salaam. Viwango vya kubadilisha fedha za kigeni dhidi ya Shilingi ya Tanzania vinavyotolewa na Benki za CRDB na NMB kwa matumizi ya leo Februari 27, 2026 huku Shilingi ya Tanzania ikiendelea kuimarika dhidi ya Dola ya Marekani kulinganisha na kiwango kilichokuwa jana katika benki zote mbili.
Viwango hivi hubadilika kila siku kulingana na mwenendo wa soko la fedha, na vina umuhimu mkubwa kwa wafanyabiashara, wawekezaji na walipakodi, hasa katika kufanya malipo ya ada, kodi pamoja na ununuzi na uingizaji wa bidhaa kutoka nje ya nchi.
Kupitia viwango hivi watumiaji wa sarafu za kigeni hupata mwongozo wa kupanga bajeti, kufanya manunuzi na kuendesha shughuli zao za kifedha kwa ufanisi.

Latest
17 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Serikali kuimarisha miundombinu ya usafiri kuboresha huduma za uchumi na utalii
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Wizara ya Afya yatahadharisha uwepo wa COVID-19, Dengue, mafua makali Tanzania
3 days ago
·
Fatuma Hussein
Sababu zinazoweza kuathiri uwezo wa mwanamke kupata ujauzito
3 days ago
·
Lucy Samson
Shilingi ya Tanzania yaanza kuimarika dhidi ya Dola ya Marekani