Viwango vya kubadili fedha Februari 28, 2025
February 28, 2025 9:13 am ·
Kelvin Makwinya
Katika soko la jumla Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Dola ya marekani inanunuliwa kwa Sh2,568.44 na kuuzwa kwa Sh2,594.13. Katika soko la rejareja benki ya NMB Dola inauzwa kwa Sh2,657 na kununuliwa kwa Sh2,562.
Tumia viwango hivi kubadili fedha za kigeni dhidi ya Shilingi ya Tanzania leo Februari 28, 2025.

Latest
5 days ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
6 days ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
6 days ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
6 days ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka