Viwango vya kubadili fedha Februari 28, 2025
February 28, 2025 9:13 am ·
Kelvin Makwinya
Katika soko la jumla Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Dola ya marekani inanunuliwa kwa Sh2,568.44 na kuuzwa kwa Sh2,594.13. Katika soko la rejareja benki ya NMB Dola inauzwa kwa Sh2,657 na kununuliwa kwa Sh2,562.
Tumia viwango hivi kubadili fedha za kigeni dhidi ya Shilingi ya Tanzania leo Februari 28, 2025.

Latest
12 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Nchi 10 zilizoongoza kwa uwekezaji (FDI) Tanzania 2024
1 day ago
·
Kelvin Makwinya
Brela yatangaza mfumo mpya utoaji huduma leseni kundi ‘A’
2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Nukta Africa kuzindua Nukta AI, siku ya uhuru wa vyombo vya habari
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Tume ya Chande yapendekeza katiba mpya kabla ya 2028