Uwekezaji wa kigeni Tanzania waongezeka kwa asilimia 0.4 mwaka 2024

May 25, 2026 10:37 am · Fatuma Hussein
Share
Tweet
Copy Link

Tanzania imeendelea kushuhudia ukuaji wa uwekezaji wa moja kwa moja kutoka nje ya nchi (FDI) katika kipindi cha miaka minne kuanzia mwaka 2020 hadi 2024, huku thamani ya uwekezaji huo ikifikia Dola za Marekani milioni 1,656 mwaka 2024.

Takwimu zinaonyesha kuwa kiwango hicho ni ongezeko la asilimia 0.4 kutoka Dola milioni 1,648.9 zilizorekodiwa mwaka 2023. 

Hata hivyo, ongezeko hilo ni dogo zaidi kuwahi kurekodiwa ndani ya kipindi hicho cha miaka mitano.

Mwaka 2020 Tanzania ilirekodi Dola za Marekani  milioni 943.8 za uwekezaji kutoka nje, kabla ya kuongezeka hadi Dola milioni 1,190.5 mwaka 2021 na kufikia Dola milioni 1,437.6 mwaka 2022.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
25 May, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
25 May, 2026
No active movers today
Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MIKOA 5 YA KIPOLISI INAYOONGOZA KWA MAKOSA BARABARANI

MIKOA 5 YA KIPOLISI INAYOONGOZA KWA MAKOSA BARABARANI

Nukta TV

SERIKALI YAKAMILISHA MAZUNGUMZO MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA

SERIKALI YAKAMILISHA MAZUNGUMZO MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA

Nukta TV

🔴LIVE: KAPINGA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA 2026/2027 BUNGENI.

🔴LIVE: KAPINGA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA 2026/2027 BUNGENI.

Nukta TV