Ukatili, kuchepuka: Sababu kuu wanandoa kupeana talaka
March 8, 2023 12:44 pm ·
admin
Dar es Salaam. Wakati takwimu za Ripoti ya Utafiti wa Ufuatiliaji wa Kaya (NPS) 2020/2021 iliyotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), zikionyesha kuwa asilimia 57 ya Watanzania hawapo kwenye ndoa, sababu za wanaume na wanawake kutalikiana zimekuwa zikitofautiana.
Ripoti ya Utafiti wa Taasisi za Kijamii na Jinsia (SIGI) ya mwaka 2021 imebainisha sababu ambazo zinaweza kusababisha wanandoa kutalikiana ama kutengana.
Licha ya kuwa kila kundi la yaani wanawake na wanaume wameainisha sababu za kutalikiana, matendo kama kuzini nje ya ndoa, pamoja na ukatili yameonekana kuwa na asilimia nyingi za kuwa sababu ya talaka au wanandoa kutengana.
Latest

14 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Bajeti ya Wizara ya Ardhi yapungua kwa Sh7.2 bilioni 2025/26

3 days ago
·
Fatuma Hussein
Bajeti Wizara ya Maendeleo yaongezeka kwa asilimia 11.9

3 days ago
·
Kelvin Makwinya
Tanzania kujenga kituo cha upandikizaji figo kikubwa zaidi Afrika

3 days ago
·
Kelvin Makwinya
Mitandao ya kijamii fursa kukuza ujasiriamali