Ukatili, kuchepuka: Sababu kuu wanandoa kupeana talaka
March 8, 2023 12:44 pm ·
admin
Dar es Salaam. Wakati takwimu za Ripoti ya Utafiti wa Ufuatiliaji wa Kaya (NPS) 2020/2021 iliyotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), zikionyesha kuwa asilimia 57 ya Watanzania hawapo kwenye ndoa, sababu za wanaume na wanawake kutalikiana zimekuwa zikitofautiana.
Ripoti ya Utafiti wa Taasisi za Kijamii na Jinsia (SIGI) ya mwaka 2021 imebainisha sababu ambazo zinaweza kusababisha wanandoa kutalikiana ama kutengana.
Licha ya kuwa kila kundi la yaani wanawake na wanaume wameainisha sababu za kutalikiana, matendo kama kuzini nje ya ndoa, pamoja na ukatili yameonekana kuwa na asilimia nyingi za kuwa sababu ya talaka au wanandoa kutengana.
Latest

2 days ago
·
Fatuma Hussein
WHO: Watu zaidi ya milioni 300 duniani wanahitaji msaada wa afya ya akili

3 days ago
·
Lucy Samson
Wizara ya Elimu yatangaza ufadhili wa masomo Russia

3 days ago
·
Fatuma Hussein
Marekani yaiwekea Tanzania masharti dhamana ya viza

3 days ago
·
Lucy Samson
Habari za uzushi zinavyoweza kuathiri uchaguzi wa kidemokrasia