Tumia viwango hivi kubadili fedha Januari 17,2025
January 17, 2025 8:47 am ยท
Kelvin Makwinya
Katika soko la rejareja Dola ya Marekani imepanda kwa Sh3. Katika benki ya NMB dola inauzwa kwa Sh2,453 na kununuliwa kwa Sh2,548.
Katika soko la jumla Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Dola ya Marekani inauzwa kwa Sh2,449.50 na kununuliwa kwa Sh2,474.0.
Tumia viwango hivi kubadili fedha za kigeni dhidi ya Shilingi ya Tanzania leo Januari 17,2025.

Latest
5 days ago
ยท
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
6 days ago
ยท
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
7 days ago
ยท
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
7 days ago
ยท
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa harakaย
