Thamani ya sarafu za nje yazidi kuimarika dhidi ya Shilingi ya Tanzania

September 5, 2024 1:15 pm · John Francis
Share
Tweet
Copy Link

Dola ya Marekani imeongezeka kiduchu kwa asilimia 0.7 kutoka wastani wa Sh2,672 hadi Sh2,690 kati ya Agosti na Septemba, huku Pauni ya Uingereza ikipanda kwa asilimia 3.1, kutoka wastani wa Sh3,423 hadi Sh3,529, mara nne zaidi ya ongezeko la Dola.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Makonda: Waandishi wa habari tafuteni hela, tuache ‘kubrand’ watu

Makonda: Waandishi wa habari tafuteni hela, tuache ‘kubrand’ watu

Nukta TV

🔴LIVE: KAIRUKI AKIWASILISHA BAJETI YA WIZARA YA MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI

🔴LIVE: KAIRUKI AKIWASILISHA BAJETI YA WIZARA YA MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI

Nukta TV

Haya hapa maadhimio 15 ya vyombo vya habari kwa Serikali

Haya hapa maadhimio 15 ya vyombo vya habari kwa Serikali

Nukta TV