Thamani ya sarafu za nje yazidi kuimarika dhidi ya Shilingi ya Tanzania
September 5, 2024 1:15 pm ·
John Francis

Dola ya Marekani imeongezeka kiduchu kwa asilimia 0.7 kutoka wastani wa Sh2,672 hadi Sh2,690 kati ya Agosti na Septemba, huku Pauni ya Uingereza ikipanda kwa asilimia 3.1, kutoka wastani wa Sh3,423 hadi Sh3,529, mara nne zaidi ya ongezeko la Dola.
Latest
7 hours ago
·
Lucy Samson
BoT yatangaza nafasi za ajira 83
8 hours ago
·
Waandishi Wetu
Mapendekezo ya tume kudhibiti matumizi mseto ya ardhi Ngorongoro
16 hours ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Machi 12, 2026
1 day ago
·
Fatuma Hussein
Mfahamu kiundani Profesa Costa Ricky Mahalu