Thamani ya sarafu za nje yazidi kuimarika dhidi ya Shilingi ya Tanzania
September 5, 2024 1:15 pm ·
John Francis

Dola ya Marekani imeongezeka kiduchu kwa asilimia 0.7 kutoka wastani wa Sh2,672 hadi Sh2,690 kati ya Agosti na Septemba, huku Pauni ya Uingereza ikipanda kwa asilimia 3.1, kutoka wastani wa Sh3,423 hadi Sh3,529, mara nne zaidi ya ongezeko la Dola.
Latest

4 hours ago
·
Esau Ng'umbi
Balozi Juma Mwapachu afariki dunia, wanasiasa wamlilia

1 day ago
·
Lucy Samson
Watanzania milioni 2.1 wafikiwa na kampeni ya Samia Legal Aid

1 day ago
·
Fatuma Hussein
Tumia viwango hivi kubadili fedha za kigeni Machi 28,2025

1 day ago
·
Waandishi Wetu
Climate Change: From floods to droughts, struggles of an East Africa under threat of a food crisis