Thamani ya sarafu za nje yazidi kuimarika dhidi ya Shilingi ya Tanzania
September 5, 2024 1:15 pm ·
John Francis

Dola ya Marekani imeongezeka kiduchu kwa asilimia 0.7 kutoka wastani wa Sh2,672 hadi Sh2,690 kati ya Agosti na Septemba, huku Pauni ya Uingereza ikipanda kwa asilimia 3.1, kutoka wastani wa Sh3,423 hadi Sh3,529, mara nne zaidi ya ongezeko la Dola.
Latest
21 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Makonda: Vyombo vya habari haviwezi kuwa huru bila uchumi imara
3 days ago
·
Fatuma Hussein
Tume ya Chande yapokea simu za matusi 300 baada ya ripoti
3 days ago
·
Kelvin Makwinya
Chande aeleza sababu tume kutotaja majina ripoti ya vurugu Oktoba 29
3 days ago
·
Fatuma Hussein
Balozi James: Hakuna Mtanzania aliyeshambuliwa Afrika kusini