Thamani ya sarafu za nje yazidi kuimarika dhidi ya Shilingi ya Tanzania
September 5, 2024 1:15 pm ·
John Francis

Dola ya Marekani imeongezeka kiduchu kwa asilimia 0.7 kutoka wastani wa Sh2,672 hadi Sh2,690 kati ya Agosti na Septemba, huku Pauni ya Uingereza ikipanda kwa asilimia 3.1, kutoka wastani wa Sh3,423 hadi Sh3,529, mara nne zaidi ya ongezeko la Dola.
Latest

1 day ago
·
Fatuma Hussein
Sh1.61 trilioni kutekeleza vipaumbele 10 wizara ya afya Tanzania

1 day ago
·
Esau Ng'umbi
Lissu kuendelea kusota rumande, uchunguzi uhaini ukiendelea

4 days ago
·
Esau Ng'umbi
CCM yaahidi kutengeneza ajira milioni 8 ifikapo 2030

5 days ago
·
Kelvin Makwinya
Bajeti ya Wizara ya Ardhi yapungua kwa Sh7.2 bilioni 2025/26