Tanzania yatimiza mwaka mmoja tangu kuripoti mgonjwa wa kwanza wa Corona

March 16, 2021 1:23 pm · Daniel
Share
Tweet
Copy Link
  • Kisa cha kwanza cha mgonjwa wa Corona nchini kilithibitishwa Machi 16, 2020 ambapo mgonjwa huyo alikuwa mwanamke mwenye umri wa miaka 46.

Dar es Salaam. Leo Machi 16, 2021, umetimia mwaka mmoja tangu kutangazwa kisa cha kwanza cha mgonjwa wa Corona nchini Tanzania. 

Kisa cha kwanza cha mgonjwa wa Corona nchini kilithibitishwa Machi 16, 2020 ambapo mgonjwa huyo alikuwa mwanamke mwenye umri wa miaka 46 ambaye aliwasili Tanzania  kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) akitokea Ubelgiji.

Mpaka sasa, Tanzania imeripoti visa vya Corona 509 huku kati ya wagonjwa hao, 21 wamefariki dunia.

Licha ya Serikali ya Tanzania kutokuweka hadharani takwimu za wagonjwa wa Corona tangu Mei 7 mwaka jana, imeendelea kuwasisitiza raia wake kuchukua hatua kujikinga na ugonjwa huo ikiwemo kuvaa barakoa, kunawa mikono kwa maji, kutumia kitakasa mikono na kuepuka mikusanyiko isiyo ya lazima.

/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
5 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
5 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Unaweza kusema ni maumivu juu ya maumivu kwa watumiaji wa vyombo vya moto vinavyotumia mafuta ya

Unaweza kusema ni maumivu juu ya maumivu kwa watumiaji wa vyombo vya moto vinavyotumia mafuta ya

Nukta TV

Neema Mohamed, Mkurugenzi wa Bone and Blood Foundation, ni shujaa wa ugonjwa wa selimundu Sickl

Neema Mohamed, Mkurugenzi wa Bone and Blood Foundation, ni shujaa wa ugonjwa wa selimundu Sickl

Nukta TV

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, ametua kwenye ardhi ya Urusi kwa ziara ya kitaifa ya siku

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, ametua kwenye ardhi ya Urusi kwa ziara ya kitaifa ya siku

Nukta TV