Tanzania yatimiza mwaka mmoja tangu kuripoti mgonjwa wa kwanza wa Corona

March 16, 2021 1:23 pm · Daniel
Share
Tweet
Copy Link
  • Kisa cha kwanza cha mgonjwa wa Corona nchini kilithibitishwa Machi 16, 2020 ambapo mgonjwa huyo alikuwa mwanamke mwenye umri wa miaka 46.

Dar es Salaam. Leo Machi 16, 2021, umetimia mwaka mmoja tangu kutangazwa kisa cha kwanza cha mgonjwa wa Corona nchini Tanzania. 

Kisa cha kwanza cha mgonjwa wa Corona nchini kilithibitishwa Machi 16, 2020 ambapo mgonjwa huyo alikuwa mwanamke mwenye umri wa miaka 46 ambaye aliwasili Tanzania  kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) akitokea Ubelgiji.

Mpaka sasa, Tanzania imeripoti visa vya Corona 509 huku kati ya wagonjwa hao, 21 wamefariki dunia.

Licha ya Serikali ya Tanzania kutokuweka hadharani takwimu za wagonjwa wa Corona tangu Mei 7 mwaka jana, imeendelea kuwasisitiza raia wake kuchukua hatua kujikinga na ugonjwa huo ikiwemo kuvaa barakoa, kunawa mikono kwa maji, kutumia kitakasa mikono na kuepuka mikusanyiko isiyo ya lazima.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
15 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
15 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Mwenendo wa deni la serikali

Mwenendo wa deni la serikali

Nukta TV

Rais Samia: Uchumi wa nchi unapanda , lakini ukifika kwa watu hali si nzuri

Rais Samia: Uchumi wa nchi unapanda , lakini ukifika kwa watu hali si nzuri

Nukta TV

Gavana Tutuba afichua kiasi cha dhahabu kilichopo BoT thamani yake

Gavana Tutuba afichua kiasi cha dhahabu kilichopo BoT thamani yake

Nukta TV