Tanesco: Makali ya mgao wa umeme yamepungua

December 17, 2022 8:17 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Maharage Chande amesema shirika hilo limefanikiwa kupunguza makali ya upungufu wa umeme nchini kutoka wastani wa kati ya megawati 300 hadi 350 wiki zilizopita hadi kufikia wastani wa kati ya megawati 100 hadi 150 wiki hii.

Makali hayo yamepungua kutokana na hatua mbalimbali zilizochukuliwa na shirika hilo.

                                     

Follow Us on TikTok

FOLLOW NOW

Subscribe to Our YouTube Channel

SUBSCRIBE NOW