Tanesco: Makali ya mgao wa umeme yamepungua

December 17, 2022 8:17 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Maharage Chande amesema shirika hilo limefanikiwa kupunguza makali ya upungufu wa umeme nchini kutoka wastani wa kati ya megawati 300 hadi 350 wiki zilizopita hadi kufikia wastani wa kati ya megawati 100 hadi 150 wiki hii.

Makali hayo yamepungua kutokana na hatua mbalimbali zilizochukuliwa na shirika hilo.

                                     

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Nukta TV

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

Nukta TV

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Nukta TV