Alhamis, Mei 09, 2024
Kinaweza kuunganisha magari 45 kwa siku moja. Kutoa zaidi ya ajira 2,000.
Amesema ili kupunguza matumizi ya nishati zisizo salama nchini juhudi za pamoja zinahitajika.
Idadi hiyo imeongezeka kutoka wanufaika 8,000 waliopangwa kupatiwa mikopo katika ngazi hiyo ya elimu katika mwaka wa fedha wa 2023/24.
Zaidi ya nusu ya bajeti ya miradi ya maendeleo kutumika kugharamia mikopo ya elimu ya juu. Kamati ya Bunge yaonya juu ya Serikali kutotoa fedha zilizoidhinishwa. Yasema inaathiri utekelezaji wa baadhi ya shughuli za wizara.
Serikali yaliomba Bunge kuidhinisha Sh2.73 trilioni kwa mwaka wa fedha wa 2024-25 ikiwa ni ongezeko la asilimia 31 kutoka kiwango cha mwaka jana.
Watahiniwa waonywa kutojihusisha na vitendo vya udanganyifu