Shilingi yaimarika dhidi ya Dola ya Marekani

November 19, 2024 10:47 am · Kelvin Makwinya
Share
Tweet
Copy Link

Thamani ya Shilingi dhidi ya Dola ya Marekani imeongezeka kidogo ndani ya mwezi mmoja, jambo litakalowapatia ahueni wafanyabiashara wanaoagiza bidhaa na huduma kutoka nje ya nchi.

Kwa mujibu wa Kwa mujibu wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kiwango cha kununua Dola moja ya Marekani kimeshuka kwa shilingi 67.37 hadi Sh2,658.44 Novemba 19 mwaka huu kutoka Sh2,725.81 kilichorekodiwa Oktoba 18.

Hata katika soko la rejareja katika benki za biashara, Shilingi imeendelea kuimarika dhidi ya Dola. Viwango cha kubadili fedha za Benki ya NMB PLC vinabainisha kuwa Dola moja inauzwa Sh2,730 leo kutoka Sh2,740 mwezi mmoja uliopita.

Kuimarika kwa Shilingi kutasaidia kupunguza maumivu kwa wafanyabiashara na wanunuzi wa bidhaa na huduma kutoka nje ambao hutegemea zaidi Dola ya Marekani kufanya malipo yao kimataifa.

Tumia viwango hivi leo kufahamu taasisi inayotoa ofa nzuri ya fedha za kigeni.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
27 Jul, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
27 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
27 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Hizi ndio passport 5 zenye nguvu zaidi duniani

Hizi ndio passport 5 zenye nguvu zaidi duniani

Nukta TV

Hii ndio spirulina: Hazina ya maji inayoboresha afya za Watanzania

Hii ndio spirulina: Hazina ya maji inayoboresha afya za Watanzania

Nukta TV

Mradi wa Sh4.6 bilioni kutoa ahueni ya umeme Lindi, Mtwara

Mradi wa Sh4.6 bilioni kutoa ahueni ya umeme Lindi, Mtwara

Nukta TV