Sekta 5 zilizoongoza kwa faida, uwekezaji wa kigeni (FI) Tanzania 2024

April 23, 2026 10:07 am · Kelvin Makwinya
Share
Tweet
Copy Link

Kwa mujibu wa ripoti ya uwekezaji ya mwaka 2025, faida halisi (net profit baada ya kodi) inayopatikana kutokana na uwekezaji wa kigeni (FI) iliongezeka hadi kufikia Sh5.78 trilioni mwaka 2024, sawa na ongezeko la asilimia 20.67 kutoka Sh4.79 trilioni mwaka 2023.

Faida nyingi zilitokana na sekta kuu kama fedha na bima, ambayo iliongoza kwa takribani Sh2.26 trilioni, ikifuatiwa na uchimbaji madini na mawe Sh1.72 trilioni, pamoja na sekta ya viwanda Sh0.78 trilioni.

Hata hivyo, mgao wa faida (dividends) uliotangazwa ulipungua kwa asilimia 27.7 hadi kufikia Sh1.31 trilioni, kutokana na mabadiliko ya kimkakati ambapo wawekezaji walichagua zaidi kubakiza faida zao ndani ya biashara badala ya kuzigawa.

Kwa upande mwingine, uwekezaji upya wa faida (reinvestment of earnings) uliongezeka kwa kiasi kikubwa hadi kufikia Sh4.47 trilioni.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: WABUNGE WAKIJADILI HOTUBA YA WIZARA YA NISHATI BUNGENI

🔴LIVE: WABUNGE WAKIJADILI HOTUBA YA WIZARA YA NISHATI BUNGENI

Nukta TV

🔴LIVE: NDEJEMBI AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI WIZARA YA NISHATI

🔴LIVE: NDEJEMBI AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI WIZARA YA NISHATI

Nukta TV

🔴LIVE: RAIS SAMIA, MAMALISHE,  BABALISHE WANAJAMBO LAO LEO

🔴LIVE: RAIS SAMIA, MAMALISHE, BABALISHE WANAJAMBO LAO LEO

Nukta TV

BENEFIT FROM
Nukta ADS
Advertise with us to reach a wider audience with high conversion rates.
Other Nukta Africa Products
Nukta Habari
Stories that matter
Topics
Inuldge yourself with the topics in Nukta
All
Business
Africa
Contact
Tel
+255 750 881 888
Mail
newsroom@nukta.co.tz
Address
Mwananyamala kwa Kopa Dabe House Dar es Salaam TZ, 14108
Social Media

© 2024 Nukta Africa. All Rights Reserved.