Sekta 5 zilizoongoza kwa faida, uwekezaji wa kigeni (FI) Tanzania 2024

April 23, 2026 10:07 am · Kelvin Makwinya
Share
Tweet
Copy Link

Kwa mujibu wa ripoti ya uwekezaji ya mwaka 2025, faida halisi (net profit baada ya kodi) inayopatikana kutokana na uwekezaji wa kigeni (FI) iliongezeka hadi kufikia Sh5.78 trilioni mwaka 2024, sawa na ongezeko la asilimia 20.67 kutoka Sh4.79 trilioni mwaka 2023.

Faida nyingi zilitokana na sekta kuu kama fedha na bima, ambayo iliongoza kwa takribani Sh2.26 trilioni, ikifuatiwa na uchimbaji madini na mawe Sh1.72 trilioni, pamoja na sekta ya viwanda Sh0.78 trilioni.

Hata hivyo, mgao wa faida (dividends) uliotangazwa ulipungua kwa asilimia 27.7 hadi kufikia Sh1.31 trilioni, kutokana na mabadiliko ya kimkakati ambapo wawekezaji walichagua zaidi kubakiza faida zao ndani ya biashara badala ya kuzigawa.

Kwa upande mwingine, uwekezaji upya wa faida (reinvestment of earnings) uliongezeka kwa kiasi kikubwa hadi kufikia Sh4.47 trilioni.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
5 Sep, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
5 Sep, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴 LIVE: WABUNGE WAKIMCHAPA MASWALI MAZITO WAZIRI MKUU BUNGENI

🔴 LIVE: WABUNGE WAKIMCHAPA MASWALI MAZITO WAZIRI MKUU BUNGENI

Nukta TV

CEO, TAB Group: Africa Agri Expo 2026 inakwenda kufungua fursa kimataifa, kilimo cha Tanzania

CEO, TAB Group: Africa Agri Expo 2026 inakwenda kufungua fursa kimataifa, kilimo cha Tanzania

Nukta TV

TANTRADE: Tumieni vifungashio vya "Made in Tanzania"

TANTRADE: Tumieni vifungashio vya "Made in Tanzania"

Nukta TV