Matokeo kidato cha pili mwaka 2022 haya hapa
January 4, 2023 8:10 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) leo Januari 2023 limetangaza matokeo ya mtihani wa Upimaji wa Kitaifa wa Darasa la Nne na Kidato cha Pili kwa mwaka 2022.
Endelea kutufuatilia tutakuletea undani wa matokeo hayo. Kupata matokeo bonyeza kiunganishi hiki
Latest

7 hours ago
·
Fatuma Hussein
Jafo aomba Sh135.7 bilioni kukuza viwanda, biashara Tanzania

1 day ago
·
Esau Ng'umbi
Rais Samia ataja mafunzo matano kwa viongozi wa sasa kujifunza kwa Hayati Msuya

2 days ago
·
Kelvin Makwinya
INEC yaongeza majimbo Tanzania, Bunge likifikia wabunge zaidi 400

2 days ago
·
Fatuma Hussein
Wizara ya Elimu yaomba bajeti ya zaidi Sh2.4 trilioni 2025/26