Matokeo darasa la saba mwaka 2022 haya hapa
December 1, 2022 7:12 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) limetangaza matokeo ya mtihani wa darasa la saba mwaka 2022.
Matokeo hayo yametangazwa leo Desemba 1, 2022 na tayari yameshapakiwa katika tovuti ya baraza hilo www.necta.go.tz.
Mtihani wa darasa la saba ni hatua muhimu katika safari ya elimu ya sekondari na hatimaye elimu ya juu nchini.
Tutakuletea undani wa matokeo yote hayo hivi punde yaliyochambuliwa kwa kina zikiwemo shule 10 bora na wanafunzi waliotikisa mwaka huu.
Latest

1 hour ago
·
Fatuma Hussein
Rais Samia: Jitokezeni kuboresha taarifa zenu ili mpige kura

1 day ago
·
Fatuma Hussein
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari yaomba kuidhinishiwa bajeti ya Sh291.5

1 day ago
·
Nuzulack Dausen
Vodacom Tanzania yaripoti faida ya Sh90.5 bilioni

2 days ago
·
Gustaph Goodluck
Spiro yazindua pikipiki ya umeme kuchochea usafiri salama, nafuu Tanzania