Huduma ya barabara bado bado Maswa

Mwandishi Wetu 0057Hrs   Februari 25, 2022 Chati & Data

Dar es Salaam. Licha ya barabara kuwa miundombinu muhimu katika kuwezesha usafirishaji wa watu na mizigo, bado wakazi wa Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu wamesema huduma hiyo haitolewi kama inavyohitajika.

Kwa mujibu wa utafiti wa Awali ngazi ya Kaya, Maswa (Machi – Aprili, 2021) uliofanywa na Shirika la Twaweza umebaini kuwa asilimia 82 ya wakazi wilayani humo hawaridhishwi na huduma ya barabara na miundombinu.

Hiyo inatoa tafsiri kuwa changamoto ya barabara ba do ni kubwa wilayani humo.

 

Related Post