Hali halisi ya Tehama shule za msingi Maswa
February 4, 2022 6:39 am ·
Daniel Samson
Dar es Salaam. Licha ya teknolojia ya habari na mawasiliano kuwa na umuhimu kwa wanafunzi kupata ujuzi na maarifa mapya, shule za msingi za Halmashauri ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu zinakabiliwa na upungufu mkubwa wa vifaa vya Tehama.
Hali hiyo inaweza kuwa kikwazo kwa wanafunzi kupata elimu ya Tehama ambayo inahitajika zaidi wakati huu wa mapinduzi ya nne ya viwanda.

Latest
1 day ago
·
Fatuma Hussein
Wasichana wang’ara matokeo darasa la nne, kidato cha pili
1 day ago
·
Kelvin Makwinya
Necta yatangaza matokeo ya darasa la nne, kidato cha pili ufaulu waongezeka kiduchu
1 day ago
·
Kelvin Makwinya
Matokeo darasa la nne, kidato cha pili haya hapa
2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Panda shuka za Paul Makonda katika siasa