Rais Samia amteua Ummy Mwalimu kuwa mshauri masuala ya afya

June 2, 2026 9:05 pm · Lucy Samson
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni baada ya kukaa nje ya ulingo kwa takribani miezi 22.

Arusha. Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Ummy Ally Mwalimu kuwa mshauri wa Rais wa masuala ya afya ya uzazi, mama na mtoto.

Taarifa ya Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dk Moses Kusiluka iliyotolewa usiku wa Leo Juni 2, 2026 imethibitisha uteuzi wa kiongozi huyo.

Uteuzi wa Ummy unakuja ikiwa takribani miezi 22tangu awekwe kando katika baraza la mawaziri na miezi nane tangu aenguliwe katika kinyanganyiro cha ubunge kupitia Jimbo la Tanga mjini.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa kiwango cha biashara kati ya Tanzania na Sin

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa kiwango cha biashara kati ya Tanzania na Sin

Nukta TV

Mizinga ya heshima, Rais Samia akimpokea Rais wa Singapore, Ikulu Dar es Salaam

Mizinga ya heshima, Rais Samia akimpokea Rais wa Singapore, Ikulu Dar es Salaam

Nukta TV

Mikakati ya Serikali kuhakikisha walimu wa VETA wanapata ajira na mikopo

Mikakati ya Serikali kuhakikisha walimu wa VETA wanapata ajira na mikopo

Nukta TV