Rais Samia amteua Ummy Mwalimu kuwa mshauri masuala ya afya

June 2, 2026 9:05 pm · Lucy Samson
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni baada ya kukaa nje ya ulingo kwa takribani miezi 22.

Arusha. Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Ummy Ally Mwalimu kuwa mshauri wa Rais wa masuala ya afya ya uzazi, mama na mtoto.

Taarifa ya Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dk Moses Kusiluka iliyotolewa usiku wa Leo Juni 2, 2026 imethibitisha uteuzi wa kiongozi huyo.

Uteuzi wa Ummy unakuja ikiwa takribani miezi 22tangu awekwe kando katika baraza la mawaziri na miezi nane tangu aenguliwe katika kinyanganyiro cha ubunge kupitia Jimbo la Tanga mjini.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
23 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
23 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Baba Levo: Wazo la kuongeza tozo kwenye bodaboda litolewe, tuleteeni watu wa tungi

Baba Levo: Wazo la kuongeza tozo kwenye bodaboda litolewe, tuleteeni watu wa tungi

Nukta TV

Mwanzo mwisho mapokezi ya Rais wa Namibia Netumbo Nandi Ikulu Dar es Salaam

Mwanzo mwisho mapokezi ya Rais wa Namibia Netumbo Nandi Ikulu Dar es Salaam

Nukta TV

Sikia kisa cha bibi wa Mbagala, chanzo Jaji Mkuu Masaju kupanda cheo

Sikia kisa cha bibi wa Mbagala, chanzo Jaji Mkuu Masaju kupanda cheo

Nukta TV