Rais Samia amteua Ummy Mwalimu kuwa mshauri masuala ya afya

June 2, 2026 9:05 pm · Lucy Samson
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni baada ya kukaa nje ya ulingo kwa takribani miezi 22.

Arusha. Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Ummy Ally Mwalimu kuwa mshauri wa Rais wa masuala ya afya ya uzazi, mama na mtoto.

Taarifa ya Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dk Moses Kusiluka iliyotolewa usiku wa Leo Juni 2, 2026 imethibitisha uteuzi wa kiongozi huyo.

Uteuzi wa Ummy unakuja ikiwa takribani miezi 22tangu awekwe kando katika baraza la mawaziri na miezi nane tangu aenguliwe katika kinyanganyiro cha ubunge kupitia Jimbo la Tanga mjini.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
13 Jul, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
13 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
13 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Jinsi ya kufanya maombi ya chuo 2026/2027

Jinsi ya kufanya maombi ya chuo 2026/2027

Nukta TV

Hawa ndio wanasoka 5 wanaoingiza mkwanja mrefu zaidi duniani

Hawa ndio wanasoka 5 wanaoingiza mkwanja mrefu zaidi duniani

Nukta TV

130 wakamatwa kwa tuhuma za kupanga na kuhamasisha uhalifu Tanzania

130 wakamatwa kwa tuhuma za kupanga na kuhamasisha uhalifu Tanzania

Nukta TV