Orodha ya waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano 2024 hii hapa

May 30, 2024 1:37 pm · Lucy Samson
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam.  Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) Mohamed Mchengerwa ametangaza orodha ya watahiniwa 188,787 waliochaguliwa kujiunga kidato cha tano kwa shule za Serikali na vyuo vya elimu na mafunzo ya ufundi mwaka 2024.

Kati ya hao, wanafunzi 131,986 wamechaguliwa kujiunga na shule za sekondari za kidato cha tano 622 zikiwemo shule mpya 82 zinazoanza mwaka huu wa 2024.

Tazama hapa orodha ya majina ya waliochanguliwa kujiunga na kidato cha tano

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Wabunge waliokwenda Morocco bila kibali kikaangoni , utoro ukiibuliwa bungeni

Wabunge waliokwenda Morocco bila kibali kikaangoni , utoro ukiibuliwa bungeni

Nukta TV

Mfahamu Leonard Mususa Alama ya Ungozi iliyoacha majonzi kwa 'MACEOs' Tanzania

Mfahamu Leonard Mususa Alama ya Ungozi iliyoacha majonzi kwa 'MACEOs' Tanzania

Nukta TV

Bei za mafuta mwezi Juni hizi hapa, dizeli ikipaa kwa Sh85

Bei za mafuta mwezi Juni hizi hapa, dizeli ikipaa kwa Sh85

Nukta TV