Mdogo mdogo: Idadi ya watalii yaimarika Tanzania
December 21, 2021 5:10 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Kama wewe ni miongoni mwa watu walioajiriwa katika sekta ya utalii, basi una kila sababu ya kutabasamu kwa sekta hiyo imeanza kuimarika nchini Tanzania. Hatua hiyo imetokana na kuongezeka kwa idadi ya watalii wanaotembelea vivutio mbalimbali baada ya ugonjwa wa Uviko-19 kudhibitiwa.

Latest
7 days ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
1 week ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka