Mdogo mdogo: Idadi ya watalii yaimarika Tanzania
December 21, 2021 5:10 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Kama wewe ni miongoni mwa watu walioajiriwa katika sekta ya utalii, basi una kila sababu ya kutabasamu kwa sekta hiyo imeanza kuimarika nchini Tanzania. Hatua hiyo imetokana na kuongezeka kwa idadi ya watalii wanaotembelea vivutio mbalimbali baada ya ugonjwa wa Uviko-19 kudhibitiwa.

Similar News
ai.nukta.co.tz/discover →
/
7 Jun, 2026 · TZS
Masoko
ai.nukta.co.tz/finance →
8 Jun, 2026 · TZS
Market Movers
ai.nukta.co.tz/finance →8 Jun, 2026