Mdogo mdogo: Idadi ya watalii yaimarika Tanzania

December 21, 2021 5:10 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Kama wewe ni miongoni mwa watu walioajiriwa katika sekta ya utalii, basi una kila sababu ya kutabasamu kwa sekta hiyo imeanza kuimarika nchini Tanzania. Hatua hiyo imetokana na kuongezeka kwa idadi ya watalii wanaotembelea vivutio mbalimbali baada ya ugonjwa wa Uviko-19 kudhibitiwa.

Follow Us on TikTok

FOLLOW NOW

Subscribe to Our YouTube Channel

SUBSCRIBE NOW