Mawaziri Wakuu wa Tanzania tangu uhuru

November 12, 2025 2:48 pm · Kelvin Makwinya
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Tangu Tanganyika ilipopata uhuru mwaka 1961, nafasi ya Waziri Mkuu imekuwa mhimili muhimu katika uendeshaji wa serikali na utekelezaji wa sera za taifa. Kuanzia kwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Waziri Mkuu wa kwanza wa Tanganyika, hadi kwa Kassim Majaliwa Majaliwa, Waziri Mkuu wa sasa. 

Tanzania imepitia viongozi waliotoa mchango mkubwa katika kuimarisha utawala, uchumi, na amani ya nchi. Wengine waliowahi kushika nafasi hiyo ni pamoja na Rashidi Kawawa, Edward Sokoine, Cleopa Msuya, Salim Ahmed Salim, Joseph Warioba, John Malecela, Frederick Sumaye, Edward Lowassa, na Mizengo Pinda. 

Kila mmoja ameacha alama katika historia ya uongozi wa taifa, lakini je, ni nani atakwenda kurithi nafasi hiyo kutoka kwa Waziri Mkuu wa sasa Kassim Majaliwa ?

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
15 Jun, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
15 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
15 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Mwenendo wa deni la serikali

Mwenendo wa deni la serikali

Nukta TV

Rais Samia: Uchumi wa nchi unapanda , lakini ukifika kwa watu hali si nzuri

Rais Samia: Uchumi wa nchi unapanda , lakini ukifika kwa watu hali si nzuri

Nukta TV

Gavana Tutuba afichua kiasi cha dhahabu kilichopo BoT thamani yake

Gavana Tutuba afichua kiasi cha dhahabu kilichopo BoT thamani yake

Nukta TV