Matokeo ya kidato cha nne 2024 haya hapa
January 23, 2025 11:50 am ·
Lucy Samson
Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha nne iliyofanyika Novemba 11 hadi 29, 2024.
Katibu Mtendaji wa Baraza hilo, Dk. Said Mohamed ametangaza matokeo hayo leo Januari 23, 2025 jijini Dar es Salaam.
Bonyeza hapa kuona matokeo ya kidato cha nne 2024
Latest

17 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Bajeti ya Wizara ya Ardhi yapungua kwa Sh7.2 bilioni 2025/26

3 days ago
·
Fatuma Hussein
Bajeti Wizara ya Maendeleo yaongezeka kwa asilimia 11.9

3 days ago
·
Kelvin Makwinya
Tanzania kujenga kituo cha upandikizaji figo kikubwa zaidi Afrika

3 days ago
·
Kelvin Makwinya
Mitandao ya kijamii fursa kukuza ujasiriamali