Matokeo ya kidato cha nne 2024 haya hapa
January 23, 2025 11:50 am ·
Lucy Samson
Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha nne iliyofanyika Novemba 11 hadi 29, 2024.
Katibu Mtendaji wa Baraza hilo, Dk. Said Mohamed ametangaza matokeo hayo leo Januari 23, 2025 jijini Dar es Salaam.
Bonyeza hapa kuona matokeo ya kidato cha nne 2024
Latest
5 days ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
6 days ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
6 days ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
6 days ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka
