Matokeo ya kidato cha nne 2024 haya hapa
January 23, 2025 11:50 am ·
Lucy Samson
Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha nne iliyofanyika Novemba 11 hadi 29, 2024.
Katibu Mtendaji wa Baraza hilo, Dk. Said Mohamed ametangaza matokeo hayo leo Januari 23, 2025 jijini Dar es Salaam.
Bonyeza hapa kuona matokeo ya kidato cha nne 2024
Latest
3 days ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia aongoza mamia kuaga mwili wa Jenista Mhagama Dodoma
3 days ago
·
Fatuma Hussein
Waziri Masauni achaguliwa Makamu wa Rais UNEA
4 days ago
·
Kelvin Makwinya
Serikali yajipanga kufikia asilimia 80 ya utoaji huduma kidijitali
4 days ago
·
Fatuma Hussein
Jenista kuzikwa Desemba 16, mkoani Ruvuma