Matokeo ya kidato cha nne 2024 haya hapa
January 23, 2025 11:50 am ·
Lucy Samson
Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha nne iliyofanyika Novemba 11 hadi 29, 2024.
Katibu Mtendaji wa Baraza hilo, Dk. Said Mohamed ametangaza matokeo hayo leo Januari 23, 2025 jijini Dar es Salaam.
Bonyeza hapa kuona matokeo ya kidato cha nne 2024
Latest
5 days ago
·
Waandishi Wetu
Mamilioni kuamua hatma ya Tanzania Uchaguzi Mkuu 2025 leo
6 days ago
·
Mwandishi
Pazia kampeni za uchaguzi lafungwa leo
6 days ago
·
Kelvin Makwinya
Yafahamu majimbo 46 yanayosubiri kura ya ndio au hapana
6 days ago
·
Fatuma Hussein
Kishindo cha wanawake majimboni 2025