Matokeo ya kidato cha nne 2024 haya hapa
January 23, 2025 11:50 am ·
Lucy Samson
Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha nne iliyofanyika Novemba 11 hadi 29, 2024.
Katibu Mtendaji wa Baraza hilo, Dk. Said Mohamed ametangaza matokeo hayo leo Januari 23, 2025 jijini Dar es Salaam.
Bonyeza hapa kuona matokeo ya kidato cha nne 2024
Latest
13 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Panda shuka za Paul Makonda katika siasa
18 hours ago
·
Waandishi Wetu
Sababu Kagera kununua mafuta kwa bei ya juu
20 hours ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Januari 9, 2026
1 day ago
·
Lucy Samson
Paul Makonda ateuliwa kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo