Matokeo ya kidato cha nne 2024 haya hapa
January 23, 2025 11:50 am ·
Lucy Samson
Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha nne iliyofanyika Novemba 11 hadi 29, 2024.
Katibu Mtendaji wa Baraza hilo, Dk. Said Mohamed ametangaza matokeo hayo leo Januari 23, 2025 jijini Dar es Salaam.
Bonyeza hapa kuona matokeo ya kidato cha nne 2024
Latest
14 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Sh385 milioni kuimarisha uchunguzi wa saratani kupitia AI, MUHAS
20 hours ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Februari 19, 2026
2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Sh25.8 bilioni kusambaza nishati safi ya kupikia taasisi 453 Tanzania Bara
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Maadhimisho ya siku ya wanawake Tanzania 2026 kupambwa na vazi la batiki