Matokeo ya kidato cha nne 2024 haya hapa
January 23, 2025 11:50 am ·
Lucy Samson
Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha nne iliyofanyika Novemba 11 hadi 29, 2024.
Katibu Mtendaji wa Baraza hilo, Dk. Said Mohamed ametangaza matokeo hayo leo Januari 23, 2025 jijini Dar es Salaam.
Bonyeza hapa kuona matokeo ya kidato cha nne 2024
Latest

1 day ago
·
Lucy Samson
Serikali kufanya mabadiliko ya sera, sheria kukuza usawa wa kijinsia

2 days ago
·
Kelvin Makwinya
IGP Wambura: Polisi 27 waliofukuzwa mafunzo kwa utovu wa nidhamu wafuatiliwe

3 days ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha za kigeni Machi 7, 2025

3 days ago
·
Kelvin Makwinya
Undani idadi ya watalii wa kigeni ndani ya miaka 10 Tanzania