Mambo yatakayosaidia utengemavu wa sekta ya utalii Tanzania
August 26, 2021 7:14 am ·
Herimina
Dar es salaam. Kutokana na athari za ugonjwa wa Corona (Uviko-19) katika sekta ya utalii, mambo matano muhimu yanapaswa kupewa kipaumbele ili kuhakikisha utengemavu wa sekta hiyo.
Mambo hayo ambayo yameainishwa katika Ripoti ya 16 ya hali ya uchumi Tanzania mwaka 2021 ya Benki ya Dunia ni pamoja na kuweka mazingira yenye ufanisi, uhakika na uwazi katika uwekezaji na biashara.
Vile vile, kuanzisha mfumo madhubuti wa taarifa utakaosaidia kupata takwimu kutoka kwa watalii na kampuni zinazojihusisha na utalii ili kuwawezesha watunga sera kuboresha sekta hiyo.

Latest
7 days ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
1 week ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka