Mambo yatakayosaidia utengemavu wa sekta ya utalii Tanzania

August 26, 2021 7:14 am · Herimina
Share
Tweet
Copy Link

Dar es salaam. Kutokana na athari za ugonjwa wa Corona (Uviko-19) katika sekta ya utalii, mambo matano muhimu yanapaswa kupewa kipaumbele ili kuhakikisha utengemavu wa sekta hiyo.

Mambo hayo ambayo yameainishwa katika Ripoti ya 16 ya hali ya uchumi Tanzania mwaka 2021 ya Benki ya Dunia ni pamoja na kuweka mazingira yenye ufanisi, uhakika na uwazi katika uwekezaji na biashara. 

Vile vile, kuanzisha mfumo madhubuti wa taarifa utakaosaidia kupata takwimu kutoka kwa watalii na kampuni zinazojihusisha na utalii ili kuwawezesha watunga sera kuboresha sekta hiyo.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
8 Sep, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
8 Sep, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Mwanzo, mwisho sikia wasifu wa mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir.

Mwanzo, mwisho sikia wasifu wa mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir.

Nukta TV

Viongozi wa nchi, walivyomzika mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir

Viongozi wa nchi, walivyomzika mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir

Nukta TV

Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir Hassan afariki dunia leo Septemba 07, 2026

Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir Hassan afariki dunia leo Septemba 07, 2026

Nukta TV