Mambo ya kuzingatia unapoanza kutumia simu ya iPhone

January 26, 2022 1:44 pm · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Atatakiwa kutengeneza maalum (Apple ID).
  • Utalazimika kununua baadhi ya programu tumishi ikiwemo Spotify.

Dar es Salaam. Huenda unataka kununua simu mpya na macho yako yapo kwenye simu za iPhone ambazo zinatumia mfumo endeshi wa IOS.

Tunaposema IOS ni sawa na kusema Android kwenye simu kama Samsung, Tecno na Infinix.

Kwa ufupi, IOS na Android, ni mifumo inayosababisha simu kufanya kazi. 

Unachotakiwa kujua ni kuwa ukichagua kununua iPhone, hautokuwa sawa sawa na mtu anayetumia simu za Android. Kuna mambo ambayo kwenye Android yapo ambayo kwenye simu za iPhone hayapo.

Kati ya mambo ya muhimu kufahamu ni kuwa kwenye simu za iPhone hauwezi kufanya baadhi ya vitu unavyoweza kufanya kwenye simu za Android ikiwemo kupakua muziki na kuuweka kwenye simu na badala yake, utapakua app kama Apple Music, Deezer na Spotify ambazo utatakiwa kuzilipia.

Ufahamu mambo gani mengine? Tazama video hii.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
16 Aug, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
16 Aug, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia: AFCON ni fursa, wawekezaji karibuni kuwekeza

Rais Samia: AFCON ni fursa, wawekezaji karibuni kuwekeza

Nukta TV

Utani wa Rais Samia, matokeo kati ya Simba na Yanga

Utani wa Rais Samia, matokeo kati ya Simba na Yanga

Nukta TV

Rais Samia awataka wananchi wa Kizimkazi kutunza miundombinu ya maji

Rais Samia awataka wananchi wa Kizimkazi kutunza miundombinu ya maji

Nukta TV