Mambo ya kufahamu kuhusu ajali za barabarani duniani

January 2, 2023 11:28 am · admin
Share
Tweet
Copy Link

  • Asilimia 90 ya ajali hutokea katika nchi zinazoendelea au zenye uchumi wa kati.
  • watu wenye umri miaka 15-19 ndio wanaongoza kwa kupoteza maisha.

Dar es Salaam.  Ajali za barabarani huenda zikawa chanzo cha saba kikuu cha vifo duniani ifikapo mwaka 2030 kama hazitafanyika jitihada za dhati katika kudhibiti ajali zinazoendelea kutokea hasa katika nchi masikini au zenye uchumi wa kati.

Kwa mujibu wa Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) takribani watu milioni 1.2 hupoteza maisha kila mwaka kutokana na ajali za barabarani na watu wenye umri wa miaka 15 hadi 29 ndiyo walio kwenye hatari zaidi ya kupoteza uhai au kujeruhiwa kutokana na ajali hizo.

Kwa mujibu wa Takwimu za Hali ya Uhalifu nchini Tanzania kati ya Januari hadi Disemba mwaka 2020 zaidi ya watu 1,200 walipoteza maisha kutokana na ajali za barabarani.

WHO wanaonya kwamba ajali za barabarani huathiri ukuaji wa pato la taifa kwa asilimia 3 kwa nchi zinazoendelea.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
WAMESANUKA, mbinu mpya ya usafirishaji wa dawa za kulevya yafichuliwa

WAMESANUKA, mbinu mpya ya usafirishaji wa dawa za kulevya yafichuliwa

Nukta TV

CCM yatoa ratiba maombi ya kumrithi Lukuvi, Israel, Lebanon wakisitisha mapigano

CCM yatoa ratiba maombi ya kumrithi Lukuvi, Israel, Lebanon wakisitisha mapigano

Nukta TV

Ridhiwani: Serikali inalenga kuacha tabasamu kwa watumishi wa Umma

Ridhiwani: Serikali inalenga kuacha tabasamu kwa watumishi wa Umma

Nukta TV

BENEFIT FROM
Nukta ADS
Advertise with us to reach a wider audience with high conversion rates.
Other Nukta Africa Products
Nukta Habari
Stories that matter
Topics
Inuldge yourself with the topics in Nukta
All
Business
Africa
Contact
Tel
+255 750 881 888
Mail
newsroom@nukta.co.tz
Address
Mwananyamala kwa Kopa Dabe House Dar es Salaam TZ, 14108
Social Media

© 2024 Nukta Africa. All Rights Reserved.