Mambo ya kufahamu kuhusu ajali za barabarani duniani

January 2, 2023 11:28 am · admin
Share
Tweet
Copy Link

  • Asilimia 90 ya ajali hutokea katika nchi zinazoendelea au zenye uchumi wa kati.
  • watu wenye umri miaka 15-19 ndio wanaongoza kwa kupoteza maisha.

Dar es Salaam.  Ajali za barabarani huenda zikawa chanzo cha saba kikuu cha vifo duniani ifikapo mwaka 2030 kama hazitafanyika jitihada za dhati katika kudhibiti ajali zinazoendelea kutokea hasa katika nchi masikini au zenye uchumi wa kati.

Kwa mujibu wa Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) takribani watu milioni 1.2 hupoteza maisha kila mwaka kutokana na ajali za barabarani na watu wenye umri wa miaka 15 hadi 29 ndiyo walio kwenye hatari zaidi ya kupoteza uhai au kujeruhiwa kutokana na ajali hizo.

Kwa mujibu wa Takwimu za Hali ya Uhalifu nchini Tanzania kati ya Januari hadi Disemba mwaka 2020 zaidi ya watu 1,200 walipoteza maisha kutokana na ajali za barabarani.

WHO wanaonya kwamba ajali za barabarani huathiri ukuaji wa pato la taifa kwa asilimia 3 kwa nchi zinazoendelea.

/
No matches found for this filter
27 May, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
28 May, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
28 May, 2026
No active movers today
Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: KOMBO AKIWASILISHA BAJETI YA WIZARA YA MAMBO YA NJE BUNGENI 2026/2027

🔴LIVE: KOMBO AKIWASILISHA BAJETI YA WIZARA YA MAMBO YA NJE BUNGENI 2026/2027

Nukta TV

MGOMO WA DALDALA WASITISHWA ARUSHA, MADEREVA WAFUNGUKA MAZITO

MGOMO WA DALDALA WASITISHWA ARUSHA, MADEREVA WAFUNGUKA MAZITO

Nukta TV

🔴LIVE: KOMBO AKIWASILISHA BAJETI YA WIZARA YA MAMBO YA NJE BUNGENI 2026/2027

🔴LIVE: KOMBO AKIWASILISHA BAJETI YA WIZARA YA MAMBO YA NJE BUNGENI 2026/2027

Nukta TV