Mambo ya kufahamu kuhusu ajali za barabarani duniani

January 2, 2023 11:28 am · admin
Share
Tweet
Copy Link

  • Asilimia 90 ya ajali hutokea katika nchi zinazoendelea au zenye uchumi wa kati.
  • watu wenye umri miaka 15-19 ndio wanaongoza kwa kupoteza maisha.

Dar es Salaam.  Ajali za barabarani huenda zikawa chanzo cha saba kikuu cha vifo duniani ifikapo mwaka 2030 kama hazitafanyika jitihada za dhati katika kudhibiti ajali zinazoendelea kutokea hasa katika nchi masikini au zenye uchumi wa kati.

Kwa mujibu wa Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) takribani watu milioni 1.2 hupoteza maisha kila mwaka kutokana na ajali za barabarani na watu wenye umri wa miaka 15 hadi 29 ndiyo walio kwenye hatari zaidi ya kupoteza uhai au kujeruhiwa kutokana na ajali hizo.

Kwa mujibu wa Takwimu za Hali ya Uhalifu nchini Tanzania kati ya Januari hadi Disemba mwaka 2020 zaidi ya watu 1,200 walipoteza maisha kutokana na ajali za barabarani.

WHO wanaonya kwamba ajali za barabarani huathiri ukuaji wa pato la taifa kwa asilimia 3 kwa nchi zinazoendelea.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
27 Jul, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
27 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
27 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Hizi ndio passport 5 zenye nguvu zaidi duniani

Hizi ndio passport 5 zenye nguvu zaidi duniani

Nukta TV

Hii ndio spirulina: Hazina ya maji inayoboresha afya za Watanzania

Hii ndio spirulina: Hazina ya maji inayoboresha afya za Watanzania

Nukta TV

Mradi wa Sh4.6 bilioni kutoa ahueni ya umeme Lindi, Mtwara

Mradi wa Sh4.6 bilioni kutoa ahueni ya umeme Lindi, Mtwara

Nukta TV