LIVE: Rais Samia Suluhu Hassan anahutubia Bunge la Tanzania

April 22, 2021 11:56 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

LIVE: Rais Samia Suluhu Hassan analihutubia Bunge jijini Dodoma kwa mara ya kwanza tangu aapishwe Machi 19, 2021. 

Viongozi mbalimbali wa Serikali na wastaafu tayari wako Bungeni ili kusikiliza Rais Samia ataongea nini kuhusu mwelekeo wa Serikali ya awamu ya sita.

                         

Follow Us on TikTok

FOLLOW NOW

Subscribe to Our YouTube Channel

SUBSCRIBE NOW