LIVE: Rais Samia Suluhu Hassan anahutubia Bunge la Tanzania
April 22, 2021 11:56 am ·
Mwandishi
LIVE: Rais Samia Suluhu Hassan analihutubia Bunge jijini Dodoma kwa mara ya kwanza tangu aapishwe Machi 19, 2021.
Viongozi mbalimbali wa Serikali na wastaafu tayari wako Bungeni ili kusikiliza Rais Samia ataongea nini kuhusu mwelekeo wa Serikali ya awamu ya sita.
Latest
12 minutes ago
·
Kelvin Makwinya
Nukta Africa kuongoza mijadala ya AI, uandishi wa habari za takwimu Arusha
55 minutes ago
·
Kelvin Makwinya
TBL yatangaza gawio la Sh529 kwa hisa 2025
1 hour ago
·
Fatuma Hussein
Mkopo wa Sh53.09 bilioni ulivyokwamisha miradi ya maendeleo Wizara ya Madini
6 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Soko la fedha za kigeni laonyesha utulivu, Dola ya Marekani yabaki Sh2,650