LIVE: Kuapishwa kwa mawaziri, manaibu mawaziri wateule Ikulu, Dodoma
April 1, 2021 10:54 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anawaapisha mawaziri nane wateule na Katibu Mkuu Kiongozi Ikulu Chamwino.
Waliteuliwa jana Machi 31, 2021 baada ya mabadiliko yaliyofanyika katika Baraza la Mawaziri.
Latest
12 hours ago
·
Lucy Samson
Rais Samia aunda tume ya uchunguzi wa makosa ya kijinai ya Oktoba 29
13 hours ago
·
Lucy Samson
Tanzania mwenyeji mkutano mkubwa wa Africa Agri Expo 2026
13 hours ago
·
Fatuma Hussein
Serikali ya Tanzania yatangaza tahadhari, Ebola ikisambaa DRC, Uganda
19 hours ago
·
Fatuma Hussein
Magari 10 yanayotumia mafuta kidogo