LIVE: Kuapishwa kwa mawaziri, manaibu mawaziri wateule Ikulu, Dodoma

April 1, 2021 10:54 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia  Suluhu Hassan anawaapisha mawaziri nane wateule na Katibu Mkuu Kiongozi  Ikulu  Chamwino.

Waliteuliwa jana Machi 31, 2021 baada ya mabadiliko yaliyofanyika katika Baraza la Mawaziri.

                       

Follow Us on TikTok

FOLLOW NOW

Subscribe to Our YouTube Channel

SUBSCRIBE NOW