LIVE: Mwili wa Hayati Rais John Magufuli ukiagwa kitaifa jijini Dodoma
March 22, 2021 5:35 am ·
Mwandishi
- Wananchi wa Jiji la Dodoma leo Machi 22, 2021 wanatoa keshima zao za mwisho kwa aliyekuwa Rais wa Tanzania, John Magufuli kabla ya mwili kusafirishwa kupelekwa visiwani Zanzibar.
#LIVE: Wananchi wa Jiji la Dodoma leo Machi 22, 2021 wanatoa heshima zao za mwisho kwa aliyekuwa Rais wa Tanzania, John Magufuli kabla ya mwili kusafirishwa kupelekwa visiwani Zanzibar.
          Â