LIVE: Makamu wa Rais Dk Philip Mpango ameapishwa Ikulu, Chamwino, Dodoma

March 31, 2021 11:17 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

#LIVE: Makamu wa Rais Mteule Dk Philip Mpango anaapishwa Ikulu, Chamwino, Dodoma.

​Dk Mpango ambaye alikuwa Waziri wa Fedha na Mipango alipendekezwa kuwa makamu wa rais na Rais Samia Suluhu Hassan jana Machi 30, 2021 na siku hiyo hiyo alithibitishwa na Wabunge wa Bunge la Tanzania kwa kupigiwa kura 363 sawa na asilimia 100 kushika wadhifa huo wa juu wa uongozi nchini. 

Fuatilia hapa kufahamu kinachoendelea katika hafla ya uapisho:

                     

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Nukta TV

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

Nukta TV

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Nukta TV