LIVE: Makamu wa Rais Dk Philip Mpango ameapishwa Ikulu, Chamwino, Dodoma
March 31, 2021 11:17 am ·
Mwandishi
#LIVE: Makamu wa Rais Mteule Dk Philip Mpango anaapishwa Ikulu, Chamwino, Dodoma.
​Dk Mpango ambaye alikuwa Waziri wa Fedha na Mipango alipendekezwa kuwa makamu wa rais na Rais Samia Suluhu Hassan jana Machi 30, 2021 na siku hiyo hiyo alithibitishwa na Wabunge wa Bunge la Tanzania kwa kupigiwa kura 363 sawa na asilimia 100 kushika wadhifa huo wa juu wa uongozi nchini.Â
Fuatilia hapa kufahamu kinachoendelea katika hafla ya uapisho:
          Â
Latest
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Vodacom Tanzania yamwaga Sh70 bilioni kuboresha M-Pesa
2 weeks ago
·
Kelvin Makwinya
BoT yabakiza riba ya benki kuu 5.75% licha ya vita Mashariki ya Kati
2 weeks ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
2 weeks ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026