LIVE: Makamu wa Rais Dk Philip Mpango ameapishwa Ikulu, Chamwino, Dodoma
#LIVE: Makamu wa Rais Mteule Dk Philip Mpango anaapishwa Ikulu, Chamwino, Dodoma.
​Dk Mpango ambaye alikuwa Waziri wa Fedha na Mipango alipendekezwa kuwa makamu wa rais na Rais Samia Suluhu Hassan jana Machi 30, 2021 na siku hiyo hiyo alithibitishwa na Wabunge wa Bunge la Tanzania kwa kupigiwa kura 363 sawa na asilimia 100 kushika wadhifa huo wa juu wa uongozi nchini.Â
Fuatilia hapa kufahamu kinachoendelea katika hafla ya uapisho:
          Â