LIVE: Makamu wa Rais Dk Philip Mpango ameapishwa Ikulu, Chamwino, Dodoma

March 31, 2021 11:17 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

#LIVE: Makamu wa Rais Mteule Dk Philip Mpango anaapishwa Ikulu, Chamwino, Dodoma.

​Dk Mpango ambaye alikuwa Waziri wa Fedha na Mipango alipendekezwa kuwa makamu wa rais na Rais Samia Suluhu Hassan jana Machi 30, 2021 na siku hiyo hiyo alithibitishwa na Wabunge wa Bunge la Tanzania kwa kupigiwa kura 363 sawa na asilimia 100 kushika wadhifa huo wa juu wa uongozi nchini. 

Fuatilia hapa kufahamu kinachoendelea katika hafla ya uapisho:

                     

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
5 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
5 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

Nukta TV

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Nukta TV

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

Nukta TV