Kadhaa wahofiwa kupoteza maisha, kujeruhiwa gari ikisombwa na maji Mwanza

December 13, 2023 9:20 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Mwanza. Baadhi watu wanahofiwa kupoteza maisha na wengine kujeruhiwa mara baada ya gari ya abiria kampuni ya Batco, linalofanya safari zake kati ya Mwanza na Mahaha wilayani Magu, kudaiwa kusombwa na maji mapema asubuhi wakati dereva akijaribu kuvuka daraja la mto Simiyu.

Afisa Habari Wilaya ya Magu Pachal Mashamba amekiri kutokea kwa ajali hiyo na kwamba taarifa zaidi zitatolewa mara baada ya uongozi kufika eneo la tukio.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
16 Jul, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
17 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
17 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Magonjwa haya matano yanayoongoza kwa kuua watu duniani

Magonjwa haya matano yanayoongoza kwa kuua watu duniani

Nukta TV

Mambo yakuzingatia kabla ujawasha gari lako asubuhi

Mambo yakuzingatia kabla ujawasha gari lako asubuhi

Nukta TV

Kutana na ‘Poultry Plucker’, mashine inayonyonyoa kuku watatu kwa dakika moja

Kutana na ‘Poultry Plucker’, mashine inayonyonyoa kuku watatu kwa dakika moja

Nukta TV