Kadhaa wahofiwa kupoteza maisha, kujeruhiwa gari ikisombwa na maji Mwanza

December 13, 2023 9:20 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Mwanza. Baadhi watu wanahofiwa kupoteza maisha na wengine kujeruhiwa mara baada ya gari ya abiria kampuni ya Batco, linalofanya safari zake kati ya Mwanza na Mahaha wilayani Magu, kudaiwa kusombwa na maji mapema asubuhi wakati dereva akijaribu kuvuka daraja la mto Simiyu.

Afisa Habari Wilaya ya Magu Pachal Mashamba amekiri kutokea kwa ajali hiyo na kwamba taarifa zaidi zitatolewa mara baada ya uongozi kufika eneo la tukio.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: LIVE:WABUNGE WAKIWACHAPA MASWALI MAWAZIRI | Bunge la 13 | Kikao cha 28

🔴LIVE: LIVE:WABUNGE WAKIWACHAPA MASWALI MAWAZIRI | Bunge la 13 | Kikao cha 28

Nukta TV

Top 10 ya magari yanayotumia kiwango kidogo cha mafuta

Top 10 ya magari yanayotumia kiwango kidogo cha mafuta

Nukta TV

SGR yaingizia Serikali Sh169.37 bilioni tangu kuanza kwa safari Juni 2024

SGR yaingizia Serikali Sh169.37 bilioni tangu kuanza kwa safari Juni 2024

Nukta TV