Kadhaa wahofiwa kupoteza maisha, kujeruhiwa gari ikisombwa na maji Mwanza
December 13, 2023 9:20 am ·
Mwandishi
Mwanza. Baadhi watu wanahofiwa kupoteza maisha na wengine kujeruhiwa mara baada ya gari ya abiria kampuni ya Batco, linalofanya safari zake kati ya Mwanza na Mahaha wilayani Magu, kudaiwa kusombwa na maji mapema asubuhi wakati dereva akijaribu kuvuka daraja la mto Simiyu.
Afisa Habari Wilaya ya Magu Pachal Mashamba amekiri kutokea kwa ajali hiyo na kwamba taarifa zaidi zitatolewa mara baada ya uongozi kufika eneo la tukio.
Latest
20 hours ago
·
Fatuma Hussein
Tumia viwango hivi kubadili fedha za kigeni leo Mei 13, 2026
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Usafiri, bidhaa za vyakula vyapaisha mfumuko wa bei kwa asilimia 0.8 Tanzania
3 days ago
·
Fatuma Hussein
Wagonjwa wa afya akili waongezeka kwa asilimia 89, Serikali yaanika mikakati kuwakabili
7 days ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Mei 8