Jinsi ya kujinasua kwenye upweke, unyonge

February 5, 2021 1:06 pm · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Kila siku huwa na hisia zake na endapo unajihisi upweke na unyonge, yapo mambo unayoweza kufanya ili uwe sawa ikiwemo kupata muda wakupumzika.

Dar es Salaam. Kuhisi unyonge na upweke ni sehemu ya maisha kwani kila siku huja na hisia zake. Zipo siku ambazo utaamka ukiwa na furaha, zipo siku utakuwa na hasira na zipo siku ambazo utakuwa mnyonge.

Kwa mujibu wa tovuti ya mtindo wa maisha ya lifehack, unapokua katika hali hiyo, usijiumize na kujihisi vibaya kwani ni sehemu ya maisha. Yapo mengi ambayo unaweza kufanya ili kujinasua kutoka katika hali hiyo.

Tazama video hii kujifunza zaidi.  

/
No matches found for this filter
10 Jun, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
10 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
10 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa kiwango cha biashara kati ya Tanzania na Sin

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa kiwango cha biashara kati ya Tanzania na Sin

Nukta TV

Mizinga ya heshima, Rais Samia akimpokea Rais wa Singapore, Ikulu Dar es Salaam

Mizinga ya heshima, Rais Samia akimpokea Rais wa Singapore, Ikulu Dar es Salaam

Nukta TV

Mikakati ya Serikali kuhakikisha walimu wa VETA wanapata ajira na mikopo

Mikakati ya Serikali kuhakikisha walimu wa VETA wanapata ajira na mikopo

Nukta TV