Jinsi ya kujinasua kwenye upweke, unyonge
February 5, 2021 1:06 pm ·
Rodgers Raphael
- Kila siku huwa na hisia zake na endapo unajihisi upweke na unyonge, yapo mambo unayoweza kufanya ili uwe sawa ikiwemo kupata muda wakupumzika.
Dar es Salaam. Kuhisi unyonge na upweke ni sehemu ya maisha kwani kila siku huja na hisia zake. Zipo siku ambazo utaamka ukiwa na furaha, zipo siku utakuwa na hasira na zipo siku ambazo utakuwa mnyonge.
Kwa mujibu wa tovuti ya mtindo wa maisha ya lifehack, unapokua katika hali hiyo, usijiumize na kujihisi vibaya kwani ni sehemu ya maisha. Yapo mengi ambayo unaweza kufanya ili kujinasua kutoka katika hali hiyo.
Tazama video hii kujifunza zaidi.
Latest

3 hours ago
·
Nuzulack Dausen
Vodacom Tanzania yaripoti faida ya Sh90.5 bilioni

19 hours ago
·
Gustaph Goodluck
Spiro yazindua pikipiki ya umeme kuchochea usafiri salama, nafuu Tanzania

21 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Dk. Jafo: wasiofufua viwanda kukutana na mkono wa Serikali

22 hours ago
·
Fatuma Hussein
Wizara ya Uchukuzi yaomba Sh2.746 trilioni kutekeleza vipaumbele nane