Jinsi ya kujinasua kwenye upweke, unyonge
February 5, 2021 1:06 pm ·
Rodgers Raphael
- Kila siku huwa na hisia zake na endapo unajihisi upweke na unyonge, yapo mambo unayoweza kufanya ili uwe sawa ikiwemo kupata muda wakupumzika.
Dar es Salaam. Kuhisi unyonge na upweke ni sehemu ya maisha kwani kila siku huja na hisia zake. Zipo siku ambazo utaamka ukiwa na furaha, zipo siku utakuwa na hasira na zipo siku ambazo utakuwa mnyonge.
Kwa mujibu wa tovuti ya mtindo wa maisha ya lifehack, unapokua katika hali hiyo, usijiumize na kujihisi vibaya kwani ni sehemu ya maisha. Yapo mengi ambayo unaweza kufanya ili kujinasua kutoka katika hali hiyo.
Tazama video hii kujifunza zaidi.
Latest
5 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia aomboleza kifo cha Kardinali Pengo
23 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Sh385 milioni kuimarisha uchunguzi wa saratani kupitia AI, MUHAS
1 day ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Februari 19, 2026
2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Sh25.8 bilioni kusambaza nishati safi ya kupikia taasisi 453 Tanzania Bara