Jinsi ya kujinasua kwenye upweke, unyonge
February 5, 2021 1:06 pm ·
Rodgers Raphael
- Kila siku huwa na hisia zake na endapo unajihisi upweke na unyonge, yapo mambo unayoweza kufanya ili uwe sawa ikiwemo kupata muda wakupumzika.
Dar es Salaam. Kuhisi unyonge na upweke ni sehemu ya maisha kwani kila siku huja na hisia zake. Zipo siku ambazo utaamka ukiwa na furaha, zipo siku utakuwa na hasira na zipo siku ambazo utakuwa mnyonge.
Kwa mujibu wa tovuti ya mtindo wa maisha ya lifehack, unapokua katika hali hiyo, usijiumize na kujihisi vibaya kwani ni sehemu ya maisha. Yapo mengi ambayo unaweza kufanya ili kujinasua kutoka katika hali hiyo.
Tazama video hii kujifunza zaidi.
Latest
11 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Mwigulu: Kutangaza idadi ya vifo ni kutonesha vidonda vya Watanzania
12 hours ago
·
Fatuma Hussein
Ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake bado kitendawili duniani
19 hours ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadili fedha Tanzania Novemba 25, 2025
2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Fedha za sherehe ya uhuru kukarabati miundombinu iliyoharibiwa Oktoba 29