Ijue mikoa kumi inayoongoza kwa mbuzi wengi Tanzania

September 5, 2019 11:03 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link
  • Takribani mbuzi milioni 13 kati ya milioni 19 waliopo Tanzania wanapatikani katika mikoa 10 tu. 
  • Mkoa wa Arusha unaongoza kwa kuwa na mbuzi wengi wanaofikia milioni 2.58.

Dar es Salaam. Mbuzi ni miongoni mwa wanyama wa kufugwa Tanzania ambao wanashika nafasi ya pili kwa wingi bara na visiwani .

Tanzania ina mbuzi zaidi ya milioni 19 ambapo milioni 18.94 sawa na asilimia 99.4 ya wanapatikana Tanzania bara na waliobaki sawa na asilimia 0.6 wanapatikana Zanzibar .

Mikoa ya Arusha, Shinyanga, Geita, Mwanza, Simiyu, Tanga, Manyara, Singida, Dodoma na Mara.

Kati ya mbuzi wote waliopo Tanzania, zaidi ya milioni 13 wanapatikana katika mikoa hiyo 10 huku mkoa wa Arusha ukiwa kinara kwa kuwa na mbuzi wengi zaidi Tanzania.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
17 Jul, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
17 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
17 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Msemaji Geita: Vijana msikurupuke kuja Katoro

Msemaji Geita: Vijana msikurupuke kuja Katoro

Nukta TV

Magonjwa haya matano yanayoongoza kwa kuua watu duniani

Magonjwa haya matano yanayoongoza kwa kuua watu duniani

Nukta TV

Mambo yakuzingatia kabla ujawasha gari lako asubuhi

Mambo yakuzingatia kabla ujawasha gari lako asubuhi

Nukta TV