Haya ndiyo utakayokutana nayo unapofanya biashara mtandaoni

February 18, 2021 6:33 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Wafanyabiashara za mtandaoni wanashauriwa kuwa wakweli ili kuwapatia wateja wao wepesi wa kufanya maamuzi.

Dar es Salaam. Mitandao ya kijamii siyo tu inatumika kwa mawasiliano baina ya watu, bali ni jukwaa muhimu kwa watu kufanya biashara ili kujiletea maendeleo.

Kwa sasa, mtu ana uwezo wa kuingia Instagram, facebook, Twitter na hata WhatsApp na kutafuta bidhaa anayohitaji na hivyo kufanya maamuzi ya kuinunua.

Hata hivyo, kufanya biashara mtanaoni, kumeambatana na changamoto kadhaa ikiwemo kukosa uaminifu na hivyo kupoteza wateja.

Nukta imekusanya maoni na mapendekezo ya kuwasaidia wafanyabiashara wa mtandaoni kuboresha huduma zao na haya ndiyo matokeo.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Nukta TV

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

Nukta TV

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Nukta TV