Haya ndiyo utakayokutana nayo unapofanya biashara mtandaoni

February 18, 2021 6:33 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Wafanyabiashara za mtandaoni wanashauriwa kuwa wakweli ili kuwapatia wateja wao wepesi wa kufanya maamuzi.

Dar es Salaam. Mitandao ya kijamii siyo tu inatumika kwa mawasiliano baina ya watu, bali ni jukwaa muhimu kwa watu kufanya biashara ili kujiletea maendeleo.

Kwa sasa, mtu ana uwezo wa kuingia Instagram, facebook, Twitter na hata WhatsApp na kutafuta bidhaa anayohitaji na hivyo kufanya maamuzi ya kuinunua.

Hata hivyo, kufanya biashara mtanaoni, kumeambatana na changamoto kadhaa ikiwemo kukosa uaminifu na hivyo kupoteza wateja.

Nukta imekusanya maoni na mapendekezo ya kuwasaidia wafanyabiashara wa mtandaoni kuboresha huduma zao na haya ndiyo matokeo.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
13 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
13 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: HII HAPA BAJETI KUU YA SERIKALI 2026/2027

🔴LIVE: HII HAPA BAJETI KUU YA SERIKALI 2026/2027

Nukta TV

Mashine za kukaushia rangi za kucha kutozwa ushuru kwa asilimia 10

Mashine za kukaushia rangi za kucha kutozwa ushuru kwa asilimia 10

Nukta TV

Wazee wa 'kubet' hii inawahusu, 5% kutozwa kwenye dau la kamari

Wazee wa 'kubet' hii inawahusu, 5% kutozwa kwenye dau la kamari

Nukta TV