Haya ndiyo utakayokutana nayo unapofanya biashara mtandaoni

February 18, 2021 6:33 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Wafanyabiashara za mtandaoni wanashauriwa kuwa wakweli ili kuwapatia wateja wao wepesi wa kufanya maamuzi.

Dar es Salaam. Mitandao ya kijamii siyo tu inatumika kwa mawasiliano baina ya watu, bali ni jukwaa muhimu kwa watu kufanya biashara ili kujiletea maendeleo.

Kwa sasa, mtu ana uwezo wa kuingia Instagram, facebook, Twitter na hata WhatsApp na kutafuta bidhaa anayohitaji na hivyo kufanya maamuzi ya kuinunua.

Hata hivyo, kufanya biashara mtanaoni, kumeambatana na changamoto kadhaa ikiwemo kukosa uaminifu na hivyo kupoteza wateja.

Nukta imekusanya maoni na mapendekezo ya kuwasaidia wafanyabiashara wa mtandaoni kuboresha huduma zao na haya ndiyo matokeo.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
5 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
5 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

Nukta TV

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Nukta TV

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

Nukta TV