Fursa zilizojificha matumizi ya intaneti Tanzania

February 10, 2020 1:19 pm · Daniel Samson
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Matumizi ya intaneti yanazidi kuongezeka kila mwaka Tanzania na kufungua fursa mbalimbali za mtandaoni ambazo zikitumiwa vizuri zinawaweza kuboresha maisha ya jamii na watu wake. 

Kwa mujibu takwimu za Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) za mwaka 2018, idadi ya watumiaji wa intaneti imefikia milioni 23.1 mwaka juzi kutoka watumiaji wapatao milioni 9.3 waliokuwepo mwaka 2013 ikiwa ni ongezeko la zaidi ya mara mbili katika kipindi hicho. 

Fursa zinazoambatana na matumizi sahihi hasa kwa vijana ni pamoja na ukuaji wa biashara ya mtandaoni, kurahisisha mawasiliano na utunzaji wa vitu mtandaoni.

 

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: HOTUBA YA BAJETI, WIZARA YA MADINI IKIWASILISHWA BUNGENI

🔴LIVE: HOTUBA YA BAJETI, WIZARA YA MADINI IKIWASILISHWA BUNGENI

Nukta TV

🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

Nukta TV

Nukta Africa kuzindua Nukta AI, siku ya uhuru wa vyombo vya habari

Nukta Africa kuzindua Nukta AI, siku ya uhuru wa vyombo vya habari

Nukta TV